Iran yaishtukiza Israel, idadi waliouawa yashtua

Tehran. Hali bado siyo shwari kwenye mzozo kati ya Israel dhidi ya Iran kutokana na mataifa hayo kushambuliana kwa awamu, huku mamia ya raia wakiuawa. Kwa mujibu wa Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei Hamaneh, watu 70 wameuawa katika mashambulizi matatu yaliyotekelezwa na Israel katika kipindi cha saa 24 zilizopita…

Read More

BENKI YA STANDARD CHARTERED YAFANYA USAFI RUNGWE BEACH

Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya NIPE FAGIO wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za Rungwe Beach, jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuweka mazingira safi na salama katika fukwe za bahari. Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Masoko na Chapa wa Standard Chartered, Bi. Desideria Mwegelo alisema…

Read More

Lissu aomba ajitetee mwenyewe mahakamani, ataja sababu

Dar es Salaam. Mwenyekiti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameomba mahakamani ajitetee mwenyewe huku akitaja sababu ni kuwa mawakili wake kutopewa nafasi ya faragha kuzungumza naye gerezani. Lissu amebainisha hayo leo Jumatatu Juni 16, 2025 wakati kesi yake ikianza kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu anakabiliwa na kesi ya…

Read More

Ulinzi waimarishwa, maombi yafanyika mahakamani kesi ya Lissu

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi kwa mara nyingine limeendelea kuimalisha ulinzi katika viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam zinaposikilizwa kesi zinazomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni ambapo leo Jumatatu,…

Read More

Neema aipaisha Tanzania Kwibuka T20 Rwanda

Neema Pius alishirikiana vyema na Fatuma Kibasu kuifanya Tanzania kuibuka kinara wa  mikimbio katika michuano ya Kumbukumbu ya Kwibuka iliyomalizika wikiendi iliyopita, jijini Kigali, Rwanda. Neema nyota mpya ya kriketi kwa timu ya wanawake ya Tanzania alitangazwa ndiye mtengezaji bora wa mikimbio baada ya kupiga jumla 218 katika mechi nane ilizocheza Tanzania na kumfanya amalize…

Read More

Clara sasa kufuatiliwa kwa teknolojia

NYOTA wa timu ya Taifa ya wanawake ‘Twiga Stars’, Clara Luvanga na chama lake la Al Nassr kuanzia msimu ujao wataanza kutumia teknolojia mbalimbali kwenye michezo, kwa mujibu Shirikisho la Soka la Saudi Arabia (SAFF). Shirikisho hilo limepanga kuzikabidhi timu zote za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza fedha kwa ajili ya vifaa mbalimbali vya…

Read More

Kocha Rwanda atamani kibarua cha Taoussi Azam

MAFANIKIO ya Simba na Yanga na Ligi Kuu Bara kwa ujumla katika ngazi ya kimataifa, yamempa wivu kocha mwenye uzoefu kutoka Rwanda, Innocent Seninga, akisema anatamani kuja kufanya kazi katika ligi hiyo. Seninga amesema amekuwa akiifuatilia Ligi Kuu Bara ambavyo inapanda katika viwango vya soka vya Afrika ikishika nafasi ya 5 kwa mujibu wa CAF…

Read More

Salum Kihimbwa aingia anga za Mashujaa

WAKATI uongozi wa Fountain Gate, ukimsimamisha kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Salum Kihimbwa kwa utovu wa nidhamu hadi pale itakapotoa taarifa nyingine, nyota huyo kwa sasa anawindwa na maafande wa Mashujaa kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Nyota huyo amesimamishwa kwa muda usiojulikana baada ya kumpiga mwamuzi katika mechi ya kirafiki kati…

Read More

Miloud Hamdi: Sasa Simba waje tu

YANGA kazi imerudi, kwani kama unakumbuka kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi alitamka hana ratiba na mchezo wa dabi dhidi ya Simba, lakini sasa amefungua faili la mechi hiyo, akisema ameshajulishwa juu ya uwepo wa mchezo na yupo tayari kuvaana na watani wa jadi hao hiyo Juni 25. Awali Yanga iliondoa ratiba ya maandalizi ya…

Read More