Mastaa Azam FC wapewa wiki tatu

KIKOSI cha Azam FC kimepewa mapumziko ya wiki tatu kabla ya kurejea wiki ya nne tayari kwa ajili ya kujiweka sawa kwa msimu mpya 2025/26. Azam iliyoshindwa kufikia malengo yake msimu huu baada ya kukosa mataji yote imemaliza katika nafasi ya tatu kwenye msimamo na imejihakikishia kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika. Chanzo cha kuaminika kutoka…

Read More

Shinda Samsung A25 Ukicheza Super Heli na Meridianbet

MERIDIANBET, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, imezindua promosheni kabambe, yaani hii sio ya kuacha. Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana nafasi ya kipekee kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung Galaxy A25 kwa kucheza mchezo maarufu wa Super Heli. Mchezo wa Super Heli unazidi kushika kasi na kuwavutia wengi…

Read More

Azania yaanza vyema TCA Inter-Academy

AZANIA Boys imeanza vyema ligi ya TCA Inter-Academy baada ya kuifunga Tanga Boys kwa mikimbio 69 katika mchezo wa kriketi ya mizunguko 30 iliyochezwa jijini mwishoni mwa juma. Katika mchezo huo uliochezwa kwenye Uwanja wa UDSM, Azania ndiyo walioanza kubeti na walitengeneza mikimbio 149 baada ya kumaliza mizunguko yote 30 wakiwa wamepoteza wiketi 9. Mzigo…

Read More

MD TWANGE AFAFANUA CHANGAMOTO ILIYOJITOKEZA KATIKA MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

📌Asema umeme umerejea katika maeneo yote yaliyoathirika 📌Awaomba radhi watanzania kwa changamoto iliyojitokeza. MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema changamoto ya hitilafu ya umeme iliyojitokeza katika Mfumo wa Gridi ya Taifa ilisababisha kukosekana kwa umeme kwa maeneo mbalimbali nchini tayari imeshatatuliwa. Akizungumza na waandishi wa Habari leo Juni 29, 2025 Bw. Twange amewaomba…

Read More

Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele   jitihada za kuwainua wanawake kiuchumi. Amesema kazi kubwa imeendelea kufanyika katika ukombozi wa wanawake na kuwafanya wawe na sauti, lakini hiyo haitakuwa na maana kama wataendelea…

Read More

Janga la ajali laibua mjadala wa tiba

Dar/mikoani. Tukio la ajali iliyohusisha mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba, Same Mjini, mkoani Kilimanjaro, limeondoa uhai wa watu 38, huku wengine 29 wakijeruhiwa. Katika ajali hiyo, basi la Kampuni ya Channel One na basi dogo aina ya Coaster yaligongana uso kwa uso na kuwaka moto papo hapo katika eneo hilo…

Read More