Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 12
Habari

Dakika 60 za hekaheka waumini wa Askofu Gwajima, Polisi

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ni kama kila mmoja kati ya Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam na waumini wa Kanisa la Ufufuo na

Read More
Michezo

Mastaa Azam FC wapewa wiki tatu

June 29, 2025 Admin

KIKOSI cha Azam FC kimepewa mapumziko ya wiki tatu kabla ya kurejea wiki ya nne tayari kwa ajili ya kujiweka sawa kwa msimu mpya 2025/26.

Read More
Habari

Shinda Samsung A25 Ukicheza Super Heli na Meridianbet

June 29, 2025 Admin

MERIDIANBET, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri nchini Tanzania, imezindua promosheni kabambe, yaani hii sio ya kuacha. Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana

Read More
Michezo

Azania yaanza vyema TCA Inter-Academy

June 29, 2025 Admin

AZANIA Boys imeanza vyema ligi ya TCA Inter-Academy baada ya kuifunga Tanga Boys kwa mikimbio 69 katika mchezo wa kriketi ya mizunguko 30 iliyochezwa jijini

Read More
Habari

MD TWANGE AFAFANUA CHANGAMOTO ILIYOJITOKEZA KATIKA MFUMO WA GRIDI YA TAIFA

June 29, 2025 Admin

📌Asema umeme umerejea katika maeneo yote yaliyoathirika 📌Awaomba radhi watanzania kwa changamoto iliyojitokeza. MKURUGENZI Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema changamoto ya hitilafu ya

Read More
Habari

Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni

Read More
Habari

Janga la ajali laibua mjadala wa tiba

June 29, 2025 Admin

Dar/mikoani. Tukio la ajali iliyohusisha mabasi mawili yaliyogongana uso kwa uso katika eneo la Sabasaba, Same Mjini, mkoani Kilimanjaro, limeondoa uhai wa watu 38, huku

Read More
Burudani Michezo

Tanzania kununua ndege nane, mashabiki Yanga waitwa Sabasaba

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imesema iko katika mchakato wa ununuzi wa ndege nyingine nane licha ya kuwepo kwa zuio la ndege za Air

Read More
Habari

Sh2.5 bilioni zatengwa kwa wajasiriamali, biashara endelevu Tanzania

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mradi wa Ubunifu wa Funguo, ambao ni unafadhiliwa kwa pamoja na Umoja wa Ulaya (EU), Jamhuri ya Finland na Serikali ya Uingereza

Read More
Habari

ACT wapinga kauli ya RC kuzuia kubandikwa mabango ya karatasi

June 29, 2025 Admin

Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kwa mara nyingine, kimesema kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Idrissa Mustapha Kitwana kupiga marufuku ubandikaji wa mabango

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 11 12 13 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.