Lissu, Serikali kutoana jasho tena leo mahakamani

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu leo Jumatatu Juni 16, 2025, anapandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dar es Salaam, Kisutu, katika kesi mbili tofauti zinazomkabili, mahakamani hapo. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni. Kesi hizo…

Read More

Simba kuja na sapraizi juni 25

HAKUNA ubishi huko mtaani na mtandaoni mashabiki na wapenzi wa Simba bado hawana furaha  kutokana na kitendo cha Dabi ya Kariakoo kuahirishwa kutoka jana Jumapili hadi Juni 25, lakini kuna kitu kama kitafanya na timu hiyo badi itawasapraizi wengi katika ishu ya ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Awali Wekundu hao walikuwa na mzuka mwingi wa…

Read More

BALOZI NCHIMBI AFUNGA KONGAMANO LA WAFUGAJI

Matukio mbalimbali katika picha, yakionesha kongamano la wafugaji lililofanyika mkoani Simiyu, Wilaya ya Bariadi, katika viwanja vya Nyakabindi, ambapo mgeni rasmi, aliyelifunga leo Jumapili, tarehe 15 June 2025, alikuwa ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi.

Read More

Serikali yaipongeza Green Acres kwa kusomesha wasio na uwezo

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imepongeza mchango wa shule binafsi katika elimu na imezitaka shule hizo kwenda sanjari na mabadiliko ya teknolojia duniani ili kutoa wahitimu wenye uwezo wa kujiajiri na kuajiri wenzao. Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolph Mkenda, kwenye hotuba yake iliyosomwa na Mkurugenzi wa Elimu…

Read More

Vikongwe 138 waliuawa 2024, sababu yatajwa

Shinyanga. Vikongwe 138 nchini wameuawa katika kipindi cha mwaka 2024 huku imani za kishirikina zikitajwa kuchochea mauaji hayo. Kufuatia matukio hayo, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Khamis amelaani mauaji hayo huku akisema Serikali haitomfumbia macho atakayebainika kuhusika.  Akizungumza leo Juni 15, 2025 kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa…

Read More

DKT. ADESINA AMALIZA ZIARA YA SIKU 4 TANZANIA

::::::: Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya nchini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025. Dkt. Adesina aliondoka nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kusindikizwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje…

Read More