NeST yatajwa kuleta matunda, Serikali yatoa maagizo

Arusha. Matumizi ya mfumo mpya wa kielektroniki wa Ununuzi wa Umma (NeST), yametajwa kuongeza uwazi, uwajibikaji na kuleta thamani ya fedha katika manunuzi pamoja na kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa. Mafanikio mengine yaliyochangiwa na mfumo huo yanatajwa kuwa ni pamoja na uboreshaji wa mazingira na kupungua kwa gharama za kufanya manunuzi kwa wazabuni na Serikali….

Read More

Nchimbi Ashiriki Kongamano la Wafugaji- Apongeza Mabadiliko Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Na Diana Byera, Simiyu. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Emmanuel Nchimbi, ameipongeza Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya kipindi cha miaka minne, ikiwemo kuongezeka kwa mchango wa wizara hiyo katika Pato la Taifa hadi kufikia asilimia 6. Dr. Nchimbi ameshiriki kongamano kubwa la wafugaji lililofanyika katika Uwanja…

Read More

Wabunge watwishwa zigo la bajeti kuu

Dodoma. Wakati wabunge kesho Jumatatu, Juni 16, 2025 wakianza kujadili makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka 2025/26, Watanzania wameshauri wajielekeze kuibua vyanzo vipya vya mapato ambavyo havitawaumiza. Bajeti kuu ya Serikali iliwasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 12, 2025 na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba huku akiomba Bunge kumuidhinishia Sh56.49 trilioni. Ni…

Read More

Wafugaji wapigia chapuo hati miliki maeneo ya malisho

Simiyu. Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) kimeiomba Serikali kupanga, kupima na kurasimisha maeneo rasmi ya malisho. Kimesema kwa kufanya hivyo, kutasaidia kumaliza migogoro ya mara kwa mara baina ya wakulima na wafugaji ambayo mara nyingi husababisha madhara ikiwamo vifo, majeraha na uharibifu wa mali. Wito huo umetolewa leo Jumapili Juni 15, 2025 na Katibu wa…

Read More

Serikali kuzinusuru Tanapa, Ngorongoro | Mwananchi

Dar es Salaam. Uamuzi wa Serikali wa kurejesha utaratibu wa awali kwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) umepongezwa na wadau mbalimbali. Awali, taasisi hizo zilikuwa zikikusanya mapato na kutumia sehemu ya mapato hayo kwa shughuli za utalii, lakini Serikali ilibadili utaratibu ambapo taasisi hizo zinakusanya mapato…

Read More

SMZ na mkakati wa kuifungua Pemba kiuwekezaji

Unguja. Katika kufanikisha mipango ya kuifungua Pemba kiuwekezaji, kwa mara ya kwanza linafanyika kongamano kubwa la uwekezaji kisiwani humo Kongamano hilo linalotarajiwa kufunguliwa kesho Juni 16, 2025 na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, litashirikisha wadau mbalimbali kutoka nchi za Afrika Mashariki, lengo ni kuzitangaza fursa zinazopatikana katika kisiwa hicho. Eneo hilo lenye ukubwa wa…

Read More