Straika Mtanzania apitia haya Zambia

ALIYEWAHI kuwa Ofisa Habari wa Mlandizi Queens, Sajda Sadick ambaye kwa sasa anakipiga Trident Queens ya Zambia amesema licha ya changamoto alizopitia nchini humo za kunyimwa pasi bado alisimama imara. Trident Queens alisaini mkataba wa mwaka mmoja akitokea Tanzania ambako alikuwa anahudumu nafasi ya msemaji wa Mlandizi iliyoshuka daraja. Akizungumza na Mwanaspoti, Sajda alisema ilifikia…

Read More

PPAA YAWAPA CHANGAMOTO WAZABUNI KUSHIRIKI MAFUNZO YA MODULI

Na Mwandishi Wetu, Arusha. Katika jitihada za kuhakikisha kuwa Serikali inapata thamani halisi ya fedha katika miradi yake, Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewasihi wazabuni kushiriki mafunzo yanayoratibiwa na Mamlaka hiyo ili kuwajengea uwezo wa kutumia Moduli ya kuwasilisha na kushughulikia malalamiko na rufaa katika mfumo wa NeST. Rai hiyo imetolewa na…

Read More

Mwakipaki: Kikapu pesa ipo, ishu kiwango tu

KATIBU wa Chama cha Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), Mpoki Mwakipaki amesema msisimko na ubora wa ligi ya msimu huu ni mfumo wa udhamini unaowagusa wachezaji moja kwa moja, tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma, na sasa ni ishu ya kiwango tu kwa kila mchezaji. Mwakipaki alisema timu inayoshinda, mchezaji na…

Read More

CCM KUPITISHA WAGOMBEA WENYE UWEZO UCHAGUZI MKUU- GAVU

Na Mwandishi Wetu KATIBU wa NEC Oganizesheni na Mafunzo CCM Issa Haji Usi maarufu Gavu amesisitiza Watanzania kuendelea kukiamini Chama cha Mapinduzi kwa kuwa kinaendelea na mipango yake ya kuwaletea Wananchi Maendeleo. Akizungumza wakati Kongamano la Umoja wa Vijana wa chama hicho UVCCM Wilaya ya Temeke kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM, Gavu amesema kupitia…

Read More

Rais Samia, Profesa Juma wampa mzigo Jaji Mkuu mpya

Dar es Salaam. Profesa Ibrahim Juma amehitimisha safari ya miaka takribani saba ya kuiongoza Mahakama akiwa Jaji Mkuu wa Tanzania huku akimtaka mrithi wake, George Masaju kuendeleza ushirikiano na wadau mbalimbali akiwamo Rais Samia Suluhu Hassan. Jaji Mkuu, Masaju amesema amepokea kijiti hicho akiahidi kuendelea alipoishia Profesa Juma kwa kuhakikisha wanatenda haki kwa watu wote…

Read More

Uhaba wa wataalamu Uzi, wajawazito wajifungulia kwenye boti

Unguja. Wanawake wa kisiwa cha Uzi, Mkoa wa Kusini Unguja wameendelea kuiangukia Serikali kuhakikisha kituo cha afya kilichojengwa katika eneo hilo kinapata wataalamu wa afya, ili kuwaondolea mateso ya kujifungulia katika mazingira hatarishi, ikiwamo kwenye boti wakati wakisafirishwa kwenda maeneo mengine kupata huduma hiyo. Licha ya kuwepo kwa kituo hicho cha afya kilichojengwa mwaka 2023…

Read More