Shule  zimefungwa, kazi kwenu wazazi, walezi

Baada ya muhula wa kwanza wa masomo kufungwa Juni hii, ni dhahiri kuwa watoto wako nyumbani kwa mapumziko ya likizo. Huu ni wakati mwafaka kwa wazazi kuwa karibu nao, kuzungumza nao kuhusu waliyojifunza shuleni na pia kupanga kwa pamoja namna ya kujiandaa kwa muhula wa pili wa mwaka wa masomo 2025. Tunaambiwa kuwa mbali ya…

Read More

Wazazi wanavyoharibu watoto kwa hoja ya adhabu

Dar es Salaam. Wazazi wengi hutumia adhabu, wakati mwingine zenye maumivu makali, kama nyenzo ya kurekebisha tabia za watoto. Ingawa lengo huwa ni kupunguza uwezekano wa tabia isiyofaa kuendelea, changamoto kubwa, hata hivyo, ni namna ya kuchora mstari kati ya manufaa ya adhabu yanayoletwa na madhara yake. Je, ni wazazi na walezi wangapi, kwa mfano,…

Read More

Mudrick mambo yamnyookea Uturuki | Mwanaspoti

BEKI wa Mersin inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Mudrick Mohamed amesema licha ya kuchelewa kujiunga na timu msimu huu, lakini waliipambania kutoka nafasi ya tisa hadi nne bora. Nyota huyo alicheza ligi ya Uturuki baada ya timu hiyo kumwona katika mashindano ya Kombe la Dunia yaliyofanyika nchini humo na kufanya vizuri. Akizungumza na Mwanaspoti, Mohamed…

Read More

Unavyoweza kuishi na mwenza mliyetosana

Kuishi na mwenza mliyeachana ni jambo gumu linaloweza kuibua hisia mbalimbali, kutoka maumivu ya kihisia hadi mivutano ya kila siku.  Mara nyingi hali hii hutokea kwa sababu za kiuchumi, malezi ya watoto kama mlibahatika kuzaa, au mazingira ambayo hayaruhusu kila mmoja kuishi kivyake.  Licha ya ugumu wake, kuna mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia wanandoa au…

Read More

Mtibwa Sugar yampigia hesabu Baleke

BAADA ya Mtibwa Sugar kurejea Ligi Kuu baada ya kushuka msimu uliopita, mabosi wa timu hiyo wako katika mchakato wa kuboresha kikosi hicho, huku wakiwa wanampigia hesabu aliyekuwa mshambuliaji wa Simba na Yanga, Mkongomani Jean Baleke. Taarifa kutoka katika kambi ya kikosi hicho, zimeliambia Mwanaspoti, Baleke ambaye kwa sasa hana timu tangu alipoachana na Yanga…

Read More

Mwanamke fanya biashara  huku ukitunza ndoa

Habari. Nimeolewa na nina watoto watatu. Ninataka kufanya biashara ila sijui nifanye biashara gani. Naomba ushauri wako nitoke vipi. Hongera kwa kuwa mke bora anayefikiria kujiingizia kipato licha ya kuwa ameolewa. Maana wapo wanaowategemea wame zao kwa kila kitu. Kwa sababu hujasema una mtaji kiasi gani nitakushauri biashara kadhaa za kufanya kulingana na maisha yako…

Read More

Kealey anawindwa na timu England

QPR FC inayoshiriki Ligi ya Champioship ya England inadaiwa imeanza mazungumzo na beki wa kulia mwenye asili ya Tanzania, Kealey Adamson anayekipiga Macarthur FC ya Australia. Tetesi zinaeleza viongozi wa QPR wanafanya maboresho kwenye kikosi hicho kilichomaliza nafasi ya 15 kwenye msimamo wa ligi na imefungua mazungumzo na nyota huyo mwenye uraia wa nchini mbili…

Read More

Wanne Twiga Stars watolewa CECAFA

NYOTA wanne wa kikosi cha timu ya taifa ‘Twiga Stars’ hawatakuwa sehemu ya wachezaji watakaocheza mashindano ya CECAFA Senior Women’s Championship yanayofanyika Uwanja wa Azam Complex kutokana na ratiba za timu zao. Nyota hao muhimu ni Julietha Singano na Enekia Kasonga wanaokipiga FC Juarez, Noela Luhala wa Asa Tel Aviv na Aisha Masaka ambaye aliumia…

Read More