Kinababa mpo? Malezi si ya kinamama pekee

Dar es Salaam. Ikiwa leo Juni 15, 2025 ni maadhimisho Siku ya Baba duniani, ushiriki wake katika malezi unatajwa kuchochea ustawi bora wa watoto na jamii kwa ujumla. Hata hivyo,  katika jamii nyingi za Kiafrika, jukumu la kulea watoto limekuwa likihusishwa zaidi na mama,  huku baba akionekana kama mtoaji wa mahitaji ya familia pekee. Kwa…

Read More

Hivi ndivyo unavyoweza kuadhimisha Siku ya Baba

Dar es Salaam. Leo dunia inaadhimisha siku ya baba, siku hii huadhimishwa kila Jumapili ya tatu ya Juni. Siku hii inaweza isiwe na kelele nyingi kama inavyokuwa kwenye siku ya mama kutokana na umaarufu wake. Siku ya baba ni siku maalumu inayotolewa kwa ajili ya kuwaenzi na kuwashukuru baba kwa mchango wao mkubwa katika familia…

Read More

Usaliti kidijitali unavyowaweka wenza majaribuni

Mwanza. Katika ulimwengu wa sasa uliotawaliwa na teknolojia na mitandao ya kijamii, uaminifu katika uhusiano unapitia majaribu mapya.  Ingawa usaliti wa kimapenzi si jambo geni, kuibuka kwa njia mpya za mawasiliano kama WhatsApp, Instagram, Facebook, Snapchat, na hata programu za kutafuta wachumba kumebadilisha sura ya usaliti.  Siku hizi, si lazima mtu ahusike kimwili na mtu…

Read More

Mito kutanuka, kuhama njia kwazua hofu

Dar/Arusha. Wakati baadhi ya watu wakifurahia usingizi nyakati za mvua, kwa wengine hali hiyo ni chanzo cha hofu, huzuni na maafa. Wanapolala, hawana uhakika iwapo wataamka salama au watapata tena makazi. Hali hii ni uhalisia wa maisha ya wakazi wa pembezoni mwa mito Gide mkoani Dar es Salaam na Ngarenaro, Arusha, ambako mvua badala ya…

Read More

Helikopta ya mahujaji yaanguka, yaua saba India

Kedarnath, India. Katika tukio la kusikitisha lililotokea India, helikopta iliyokuwa ikiwabeba mahujaji wa dini ya Kihindu imeanguka dakika chache baada ya kupaa, na kuua watu wote saba waliokuwa ndani. Kwa mujibu wa maafisa wa serikali, ajali hiyo ilitokea asubuhi na mapema, saa 11:30 kwa saa za huko (saa 3:00 kwa saa za Tanzania), ikiwa ni muda…

Read More

MGODI WA BARRICK BULYANHULU WADHAMINI MAHUSIANO SPORTS BONANZA

Meneja Mkuu wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne akicheza mpira wakati wa ufunguzi wa Mahusiano Sports BonanzaMkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita akicheza mpira wakati wa ufunguzi wa Mahusiano Sports BonanzaMeneja Mkuu wa mgodi wa Barrick Bulyanhulu, Johan Labuschagne akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mahusiano Sports BonanzaMkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe….

Read More

Tanga, Moro zang’ara UMITASHUMTA | Mwanaspoti

TIMU za Morogoro na Tanga zimeanza kwa moto michuano ya Michezo ya Shule za Msingi nchini (UMITASHUMTA) inayoendelea mkoani Iringa kwa kuzisambaratisha Dodoma na Dar es Salaam mtawalia. Moro iliishinda Dodoma kwa mikimbio 54, huku Tanga ikishinda  dhiddi ya Dar es Salaam.. Mchezo wa Kriketi unaingia kwa mara ya kwanza katika michezo ya UMITASHUMTA baada…

Read More

“Wanaume tumieni fimbo ndogo, siyo kubwa”

Hayo ni maneno ya mama mmoja nchini Kenya aliyekuwa akilalamikia unyanyasaji wa kijinsia nchini humo hasa matumizi ya fimbo kubwa na ngumi baina ya wanandoa. Alitoa suluhisho ambalo si wengi wangelitegemea kwa kupendekeza fimbo ndogo badala ya kubwa. Kisanii, mama yule alisema, ‘wanaume tumieni ile fimbo ndogo aliyowapea Mungu.” Kwa wanandoa, wanajua hii fimbo ni…

Read More