Kinda la Yanga aondoka na mawili Uganda

KINDA la Yanga U-20 ambaye anaichezea Wakiso Giants ya Uganda kwa mkopo, Isaack Mtengwa amesema kumaliza msimu salama bila majeraha ni jambo jema kwake, akitaja mambo aliyojifunza kwenye ligi hiyo. Huu ni msimu wa kwanza kwa nyota huyo kucheza Ligi Kuu Uganda kwani hapo awali alizichezea timu za vijana za Simba na Yanga na baada…

Read More

Abdallah Shaibu ‘Ninja’ afunguka dili la Congo

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefichua juu ya dili la kujiunga na FC Tanganyika inayoshiriki Ligi Kuu ya DRC Congo. Mwanzoni mwa mwaka huu Ninja alithibitisha yupo kwenye mazungumzo na klabu hiyo ikiwa ni wiki chache tangu aachane na FC Lupopo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu uliopita akitokea Lubumbashi Sports ya nchini…

Read More

Abdallah Shaibu ‘Ninja’ aeleza dili la Congo

BEKI wa zamani wa Yanga, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amefichua juu ya dili la kujiunga na FC Tanganyika inayoshiriki Ligi Kuu ya DRC Congo. Mwanzoni mwa mwaka huu Ninja alithibitisha yupo kwenye mazungumzo na klabu hiyo ikiwa ni wiki chache tangu aachane na FC Lupopo. Ninja alijiunga na Lupopo msimu uliopita akitokea Lubumbashi Sports ya nchini…

Read More

Misingi mitano  ya upendo imara kwenye ndoa 

Dar es Salaam.Unataka kuwa na ndoa imara na unayoweza kudumu ndanimwe kwa miaka nenda rudi? Safu hii leo inakuangazia baadhi ya mambo unayoweza kufanya ili kujenga ndoa imara maishani mwako.  Mosi, heshima. Upendo hustawi katika nyumba yenye heshima. Mtoto hushikamana na wazazi wake akitumaini kwamba watatimiza mahitaji yake, lakini uamuzi wa kupenda daima unaanzia na…

Read More

Mgogoro kati ya Iran na Israel wazidi kuwa mbaya

Tel Aviv, Israel. Mapigano makali ya makombora kati ya Iran na Israel yameua watu wasiopungua 10 nchini Israel na zaidi ya 78 nchini Iran, huku mamia wakijeruhiwa katika mashambulizi ya usiku wa manane yaliyozidi kwa kasi. Katika hali inayozua taharuki duniani, mzozo huu pia umechochea kwa kiwango kikubwa janga la kibinadamu Gaza, ambapo raia waliokuwa…

Read More