Watanzania waombwa kuchangia damu kwa hiari

Dar es Salaam. Watanzania wamehamasishwa kuwa na moyo pamoja na utamaduni wa kujitolea damu bila kusubiri siku rasmi za kitaifa ama kimataifa, Ili kuokoa maisha ya Watanzania wenzao wenye uhitaji wa damu hospitalini. Hayo yamesemwa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Kitengo cha Maabara katika Hospitali ya Aga Khan, Dk Caroline Ngimba katika tukio la…

Read More

Noble asubiri mbili Fountain Gate

HATIMA ya kipa namba moja wa timu ya Fountain Gate, Mnigeria John Noble itajulikana baada ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika iwapo atasalia au ataondoka ndani ya kikosi hicho. Fountain Gate inatarajia kumalizia mechi mbili dhidi ya Azam FC na Coastal Union, kisha atamalizana uongozi wa kikosi hicho. Noble aliondolewa kikosini Aprili 21, mwaka…

Read More

Kocha Mkenya kwenye nyayo za Simba

UONGOZI wa Simba upo kwenye mchakato wa kumalizana na Kocha wa timu ya taifa ya Kenya ya wanawake Harambee Starlets, Beldine Odemba kwa ajili ya kuinoa Simba Queens msimu ujao. Uamuzi wa Simba umefikiwa muda mfupi baada ya kuelezwa kuwa upo kwenye mpango wa kuachana na Kocha Mkuu, Yussif Basigi kutokana na kushindwa kufikia malengo….

Read More

Yanga, Dodoma Jiji yanukia Zenji

MECHI ya Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Dodoma Jiji iliyopangwa Juni 22 huenda ikachezwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar endapo mambo yataenda kama yalivyopangwa awali. Hatua ya mechi hiyo kupelekwa Zanzibar inaelezwa ni kutokana na Uwanja wa KMC Complex ambao inautumia Yanga kwa mechi za nyumbani kutumiwa na watani…

Read More

Gomez wamoto akitupia, asisti tatu Wydad

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Mtanzania Seleman Mwalimu ‘Gomez’ ameanza kufanya vizuri baada ya kuhusika kwenye mabao manne kati ya saba ya timu hiyo kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya CS Saint-Laurent kutoka Montreal, Canada. Katika mechi hiyo iliyopigwa juzi nchini Marekani, Gomez alifunga bao moja na kuasisti mara tatu wakati kikosi hicho kiliposhinda…

Read More

BARRICK YAWEZESHA NA KUSHIRIKI KONGAMANO LA AIESEC LA KUWAJENGEA UWEZO WANAFUNZI VYUO VIKUU ARUSHA

Wanafunzi wakigawiwa vipeperushi vyenye miongozo ya kuchangamkia fursa za ajira Wanafunzi wakiwa ukumbini Wanafunzi wakiwa ukumbini Wanafunzi wakiwa ukumbini Mmoja wa washiriki akiuliza swali Wageni katika meza kuu wakifuatilia matukio Baadhi ya Wafanyakazi wa Barrick walioshiriki katika kongamano hilo ** Kampuni ya Barrick nchini kwa mara nyingine imedhamini na kushiriki katika kongamano la wanafunzi wa…

Read More

Watu unaopaswa kuambatana nao ili ufanikiwe kiroho, kimwili

Bwana Yesu asifiwe! Karibu katika tafakari ya neno la Mungu. Leo utakuwa na mimi Mwalimu Edson Sanga kutoka KKKT Usharika wa Tandika. Ni maombi yangu kwa Bwana, Roho mtakatifu akuhudumie unaposoma ujumbe huu. Leo tumepewa ujumbe unaosema β€œAINA YA WATU UNAOWAHITAJI ILI UWEZE KUFANIKIWA KIROHO NA KIMWILI”. Ukweli ni kwamba tunaishi kwenye maisha ambayo tunahitaji…

Read More

SERIKALI YAHAMASISHA WADAU KUWEKEZA KATIKA UTALII ENDELEVU

………………… Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa wadau katika sekta ya utalii kuongeza uwekezaji na juhudi za pamoja katika usimamizi wa utalii katika maeneo yanayolindwa ili kuwa na Utalii endelevu. Mhe. Khamis ameongeza kuwa kuwekeza katika utalii wa maeneo yaliyolindwa sio tu kunafaida kwa…

Read More

Azam FC, Ibenge kuna kitu

Unaambiwa kwamba mambo ni moto! Kila timu inasuka kikosi chake kimyakimya, lakini kuna mambo huenda yakashangaza msimu ujao wa Ligi Kuu Bara nje na usajili wa mastaa vikosini. Na kama huamini, mazungumzo yanayoendelea kwa sasa ndani na nje ya timu za Bara yanatarajiwa kutikisa mara tu dirisha la usajili wa wachezaji litakapofunguliwa, kwani kuna sapraizi…

Read More

π—¦π—›π—œπ—‘π——π—”π—‘π—’ π—Ÿπ—” π—¦π—§π—”π——π—œ 𝗭𝗔 π—¨π—™π—¨π—‘π——π—œπ—¦π—›π—”π—π—œ π—žπ—¨π—œπ— π—”π—₯π—œπ—¦π—›π—” π—¨π—§π—˜π—žπ—˜π—Ÿπ—˜π—­π—”π—π—œ π—ͺ𝗔 π— π—œπ—§π—”π—”π—Ÿπ—” π—œπ—Ÿπ—œπ—¬π—’π—•π—’π—₯π—˜π—¦π—›π—ͺ𝗔 – π——π—žπ—§. π—žπ—’π— π—•π—”

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), Dkt. Aneth Komba, amesema miongoni mwa maboresho yaliyofanyika katika mitaala ya mwaka 2023 ni pamoja na kuchopeka matumizi ya TEHAMA katika ufundishaji na ujifunzaji. Dkt. Komba ameeleza hayo Juni 14, 2025 jijini Dar es Salaam akizungumza katika Hafla ya Utoaji wa Zawadi kwa Washindi wa Shindano la…

Read More