Dk Mwinyi aridhishwa na kazi inayofanywa na makandarasi wazawa
Unguja. Ili kufikia lengo lililokusudiwa la kuanzishwa Taasisi ya Wahandisi, Wasanifu na Wakadiriaji majenzi Zanzibar (IAESZ), Serikali imetoa wito kwa wahandisi kujisajili katika taasisi hiyo ili kuunganisha nguvu za pamoja na kufikiwa na fursa zinapojitokeza. Serikali imesema kuwa tasisi hiyo itawasaidia wazawa na Watanzania katika masuala ya usanifu na ukadiriaji wa miundombinu inayotekelezwa nchini. Hayo…