Haji Mnoga kuanza na Carabao Cup

NYOTA wa Kitanzania, Haji Mnoga na klabu yake ya Salford City wataanza msimu wa 2025/26 kwa kushiriki mashindano ya Carabao Cup yanayotarajiwa kuanza Agosti mwaka huu. Ratiba inaonyesha Salford, ambayo inaanza kwenye raundi ya kwanza ya mashindano hayo makubwa England, itakipiga na Rotherham United Agosti 12. Endapo watafuzu hadi raundi ya pili, huenda wakakutana na…

Read More

Ngoma awasaparaizi mashabiki Simba | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kucheza mechi ya mwisho kwa msimu huu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga, kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amewasapraizi mashabiki wa klabu hiyo kwa kuwaaga rasmi leo kupitia ukurasa wake wa Instagram. Ngoma ameaga ikiwa siku chache tu, tangu Simba ilipopoteza pambano la dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga…

Read More

Ngoma awasaparaizi mashabiki wa Simba

SIKU chache baada ya kucheza mechi ya mwisho kwa msimu huu wa 2024-2025 wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga, kiungo wa Simba, Fabrice Ngoma amewasapraizi mashabiki wa klabu hiyo kwa kuwaaga rasmi leo kupitia ukurasa wake wa Instagram. Ngoma ameaga ikiwa siku chache tu, tangu Simba ilipopoteza pambano la dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga…

Read More

Vodacom na Stanbink wazindua jezi za mbio za Baiskeli za Twenzetu Butiama.

Kampuni ya Vodacom Tanzania ikishirikana na Benki ya Stanbic imezindua jezi ambayo itatumika kwenye msafara wa Twende Butiama ya 2025 Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Philip Besiimire, amesema kuwa wameungana na Benki hiyo ili kuweza kufanikisha kampeni hiyo ya Twende Butiama ambayo ni ziara ya waendesha baiskeli Nchini,inayolenga kuchochea maendeleo…

Read More

SALOME MAKAMBA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE SHINYANGA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Salome Makamba, akiwasili katika ofisi za CCM Mkoa wa Shinyanga kwa ajili ya kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kugombea nafasi ya ubunge wa viti maalum kwa wanawake kupitia UWT.Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga, Salome Makamba, akionesha fomu ya kuomba ridhaa…

Read More

Mhandisi Jafari ajitosa kupambana na Babu Tale

Mhandisi na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Jafari Iddy Fadhili Hegga ( pichani kushoto) amechukua na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Awali, Mhandisi Jafari alikabidhiwa fomu na katibu wa CCM wilaya comrade Michael Bundala na kufanikiwa kuirudisha. Anatarajiwa kuwa miongoni mwa wagombea wanaowania nafasi hiyo…

Read More

MWENGE WA UHURU WAZINDUA KITUO CHA MAFUTA CHA KOIL SANGO..

Na WILLIUM PAUL, MOSHI.  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ali Ussi amewaataka wamekezaji kujitokeza katika kuwekeza kwenye miradi mbalimbali  ili kuongeza ajira  na kukuza uchumi wa nchi Ameyasema hayo leo, June 29 wakati wakizindua kituo cha mafuta cha  Kifaru Oil Investment  Company  LTD (Koil) kilichopo kata ya Kimochumi wilaya ya Moshi…

Read More

Tume ya UN inachukua hatua ya hivi karibuni kushughulikia ukiukwaji wa zamani – maswala ya ulimwengu

Paulo Sérgio Pinheiro alionyesha kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mpito ya Kitaifa na Mamlaka ya Kitaifa kwa watu waliokosekana ambayo inatarajiwa kusaidia kufunua hatma ya Wasiria zaidi ya 100,000 wanaokadiriwa kutoweka kwa nguvu au kupotea. Pia zinatarajiwa kufichua ukweli juu ya ukiukwaji wa kimfumo kama kizuizini kiholela, kuteswa na kutendewa vibaya, na juu ya shambulio lililoenea…

Read More