Kiungo KenGold katika rada za Coastal Union

KIUNGO Mkongomani wa KenGold, Kiala Lassa anadaiwa kutimkia Coastal Union ambako amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo. Mchezaji huyo amefunga bao moja kati ya 22 ambayo KenGold imeshinda, huku ikishika nafasi ya mwisho katika msimamo wa ligi ikiwa imecheza mechi 28 ikishinda tatu, sare saba na kupoteza 18. Akizungumza na Mwanaspoti, mmoja wa…

Read More

MAGIC JOHNSON: Kinara asisti fainali NBA

INDIANA, MAREKANI: KATIKA ulimwengu wa mpira wa kikapu kuna usemi maarufu unaosema “mpira unapita haraka kuliko mchezaji.” Hii inaashiria umuhimu wa pasi sahihi katika kuongoza timu kupata ushindi. Katika NBA, hasa kwenye hatua ya fainali kila mpira unaopitishwa kwa usahihi na kusababisha pointi ni mchango mkubwa unaoweza kuamua hatima ya taji. Wakati wengi huangalia wachezaji…

Read More

Bosi TFF atia neno ishu ya Mnguto

TAARIFA iliyoshtua juzi haikuwa kupangwa upya kwa tarehe ya kiporo cha Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba, bali ile iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) yenye mistari minne tu, lakini ikatingisha huku bosi wa zamani wa kamati ya sheria TFF akisema suala hilo limechelewa kuchukuliwa uamuzi. Taarifa hiyo ilikuwa kujiuzulu kwa Mwenyekiti…

Read More

Coastal, Azam zamtega kocha Fountain

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate, Mohamed Laizer amedai mechi mbili za Ligi Kuu Bara zilizosalia ni ngumu kutokana na mahitaji ya wapinzani wao, akizitaja dakika 180 kuwa ndizo zinazomnyima usingizi kwa sasa. Fountain Gate ambayo masikani yake ni Babati mkoani Manyara ilianza msimu huu ikiwa moto kabla ya pumzi kukata na kujikuta ikipambania kubaki kwenye…

Read More

Tanzania yaifumua Sudan Kusini Cecafa

BAADA ya Burundi kuichapa Uganda kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa kwanza wa mashindano ya Cecafa ya Wanawake, Tanzania ikawachapa Sudan Kusini mabao 4-0. Tanzania na Burundi zimeanza kwa ushindi katika siku ya kwanza ya mashindano ya Cecafa 2025 yanayofanyika katika Uwanja wa Azam Complex Dar es Salaam. …

Read More

Watoto wachuana kuongelea ubingwa Taifa

WAOGELEAJI 295 wamejitokeza kushiriki mashindano ya kuogelea ya ubingwa wa Taifa kwa vijana wadogo chini ya miaka 12 kutoka Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yameanza leo yanatarajia kutamatika kesho, Jumapili lengo likiwa ni kukuza na kuendeleza vipaji vya waogeleaji. Akizungumzia mashindano hayo, Mwenyekiti wa Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), David Mwasyoge amesema ushiriki huo unaonyesha…

Read More

Bocco kuagwa kwa heshima JKT

MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, John Bocco imeelezwa huenda ukatumika mchezo dhidi ya Mashujaa utakaopigwa Juni 22, Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma kuagana na mashabiki wa timu hiyo.  Bocco alijiunga na timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea Simba alikokuwa anafundisha timu ya vijana, licha ya kufunga mabao mawili akiwa na JKT Tanzania, ilielezwa sababu…

Read More

Taoussi siku zinahesabika Azam | Mwanaspoti

AZAM FC inaendelea kujifua kwa ajili ya mechi mbili za kumalizia msimu ikiwamo dhidi ya Tabora United na ile ya Fountain Gate, lakini mabosi wa klabu hiyo wameanza mapema mipango kikosi hicho kuanzia kwa wachezaji hadi benchi la ufundi na siku za kocha Rachid Taoussi kwa sasa zinahesabika. Taarifa ambazo Mwanaspoti imepenyezewa kutoka kwa mabingwa…

Read More

TANZANIA KUBORESHA KITUO CHAKE CHA WALINZI WA AMANI

 Na Karama Kenyunko Michuzi Tv  SERIKALI  imetangaza mpango wa kuimarisha mchango wake katika juhudi za kulinda amani duniani kwa kukiboresha Kituo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani cha Tanzania (TPTC) ili kiweze kutoa mafunzo kwa ngazi ya kitaifa, kikanda na kimataifa. Mkuu wa Jeshi la Anga Meja Jenerali Shabani Mani amesema hayo Juni 13, 2025…

Read More