Singida Black Stars ina saa 48 tu

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema amebakiza siku mbili ikiwa sawa na saa 48 za maandalizi ya mwisho kabla ya kuifuata Dodoma katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku akifurahia kufikia malengo ya kuipeleka timu hiyo katika michuano ya kimataifa. Singida imesaliwa na mechi mbili za kufungia msimu ikiwamo ile ya Tanzania…

Read More

JKT, UDSM Outsiders mambo magumu Dar

TIMU za kikapu ya KIUT na DB Oratory zimezitikisa timu kongwe zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) baada ya kuzifumua katika mechi zilizokutana wiki hii. Ubabe wa timu kongwe za JKT na UDSM Outsiders pamoja na Srelio na Savio ulijikuta ukielea kufuatia vipigo visivyotarajiwa kutoka kwa timu hizo ambazo zinachukuliwa kuwa…

Read More

Lori lililoanguka lazua foleni Mikumi usiku kucha

Mikumi. Abiria wa mabasi na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wamekwama katikati ya Mbuga ya Mikumi, Barabara ya Morogoro – Iringa kwa zaidi ya saa saba kutokana na lori kuanguka barabarani. Foleni ilianza saa saba usiku wa kuamkia leo Juni 14, 2025 hadi alfajiri, kukiwa na magari zaidi ya 100 yaliyokwama, abiria na madereva…

Read More

Dosari kisheria zamtoa jela maisha baba wa kambo

Arusha. Dosari za kisheria zimesababisha Hamisi John kuepa adhabu ya kifungo cha maisha jela alichohukumiwa baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa kambo wa miaka saba. Miongoni mwa dosari hizo ni ukiukwaji wa sheria ya ushahidi uliotolewa na mwathirika wa tukio hilo. Desemba 23, 2021 Mahakama ya Wilaya Pangani ilimtia hatiani…

Read More