KALLEIYA- VIONGOZI 20 CCM KIBAHA MJINI WAACHIA NGAZI KWA NIA YA KUGOMBEA UDIWANI

Viongozi 20 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, mkoani Pwani—wakiwemo Wenyeviti, Makatibu na Makatibu wa Jumuiya mbalimbali—wameachia nafasi zao wakitarajia kugombea Udiwani wa Kata pamoja na Viti Maalum katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza kuhusu maandalizi ya uchaguzi huo, Katibu wa CCM Wilaya ya Kibaha Mjini, Issack Kalleiya, alisema viongozi hao…

Read More

Wakali wa Technology kutoka nchi zaidi ya 17 Duniani wakutana jijini Dar es salaam.

Tamasha la Fintech la teknolojia ya kifedha katika Afrika mashariki lilionza tarehe 13 juni mwaka 2025 katika ukumbi wa Julius Nyerere international convention center (JNICC), limeelezwa ndio tamasha kubwa zaidi Afrika mashariki linalokutanisha wakali wa teknolojia wa fedha kutoka nchi zaidi ya 70 Duniani na kuungana na jumuiya ya fintech na kujadili fursa mbalimbali zinazosaidia…

Read More

TANROADS RUVUMA YAENDELEA KUFUNGUA BARABARA KUELEKEA KWENYE MAENEO YA UZALISHAJI

Serikali kupitia Wakala wa barabara Tanzania(TANROADS) Mkoani Ruvuma,imeanza kufanya matengenezo makubwa ya barabara zinazoelekea kwenye maeneo ya uzalishaji ikiwemo maeneo yanayolimwa zao la kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima kusafirisha mazao yao kwa urahisi pindi wanapohitaji kupeleka sokoni. Barabara ambazo zimeanza kufanyiwa matengenezo zinaunganisha Wilaya ya Mbinga na Nyasa ambazo ni maarufu kwa kilimo cha…

Read More

Misaada mikubwa zaidi iliyokatwa na wanachama wa G7 hukumu ya kifo kwa mamilioni ya watu-maswala ya ulimwengu

Mikopo: Umoja wa MataifaYa 51 G7 Mkutano umepangwa kufanywa 15-17 Juni 2025 huko Kananaskis, Alberta, Canada. G7 ina uchumi saba ulioendelea zaidi ulimwenguni: Canada, Ufaransa, Ujerumani, Italia, Japan, Uingereza, na Merika pamoja na Jumuiya ya Ulaya (EU), mwanachama ambaye sio aliyeinuliwa. Maoni na Oxfam (Alberta, Canada) Ijumaa, Juni 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Ayoub Lakred, Simba kuna kitu

MSIMBAZI kuna kitu kinaendelea chini kwa chini wakati macho ya mashabiki wa Simba yakielekezwa kwenye sakata la dabi, nyuma ya pazia jina la kipa Ayoub Lakred limeanza kuzungumziwa kwenye korido za uongozi wa klabu hiyo katika hesabu za kuboresha kikosi msimu ujao. Lakred siyo mchezaji mpya, bali ni yuleyule raia wa Morocco aliyewahi kuwa nguzo…

Read More

Mnguto ajiuzulu, Karia amsimamisha Kasongo TPLB

Saa chache baada ya Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), kupanga tarehe ya mchezo wa Yanga dhidi ya Simba, Mwenyekiti wake  Steven Mnguto amejiuzulu. Taarifa iliyotoka usiku huu kutoka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), imesema Mnguto ameandika barua ya kuachia nafasi hiyo. Hatua hiyo imekuja wakati ambao Mnguto amebakiza miezi michache kuachia nafasi hiyo baada ya…

Read More