WANAWAKE WAJASIRIAMALI WAPIGWA MSASA SHERIA ZA USHINDANI

::::::: Tume ya Ushindani wa Haki (FCC) imeendesha mafunzo maalumu kwa wajasiriamali wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam, kwa lengo la kuwaelimisha kuhusu namna bora ya kulinda biashara zao, kuwahudumia wateja kwa ubora, na kuhimili ushindani katika soko. Akizungumza leo, Juni 13, 2025 jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo, Mkurugenzi…

Read More

WAHITIMU UDSM WATAKIWA KUTHIBITISHA UWEZO KWA VITENDO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametakiwa kuthibitisha kwa vitendo uwezo wao walioupata chuoni kwa kutumia maarifa hayo kuleta mabadiliko chanya katika jamii na taifa kwa ujumla. Wito huo umetolewa leo Juni 13, 2025 katika Mahafali ya 55 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yaliyofanyika kwenye…

Read More

Sungusungu Shinyanga waja na kanuni 33 kudhibiti uhalifu

Shinyanga. Jeshi la Jadi Sungusungu Wilaya ya Shinyanga limeweka kanuni 33 zitakazotumika kudhibiti uhalifu kwenye maeneo yao ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku watoto kucheza michezo ya kamali kwa sababu ni chanzo cha wizi. Hayo yamebainishwa na Katibu wa Sungusungu Wilaya ya Shinyanga, Daudi Ludelengeja leo Juni 13, 2025 wakati wa maadhimisho ya miaka 43…

Read More