Samia amteua Masaju Jaji Mkuu, wadau wataja yanayomsubiri
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania huku wadau wa masuala ya sheria wakizungumzia umahiri wake na mambo yanayomsubiri Uteuzi huo umetangazwa leo Ijumaa, Juni 13, 2025 kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Ofisi ya Rais, Ikulu Chamwino, Dodoma. Masaju…