Mzigo wa Kariakoo Dabi umerudi

MZIGO umerudi. Ndivyo unavyoweza kusema kwa ishu ya Dabi baada ya sasa kutangazwa itapigwa Juni 25 na si keshokutwa Jumapili kama ilivyokuwa awali. Vigogo wa Simba na Yanga waliitwa Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma kuzungumza na Rais, Samia Suluhu Hassan na muda mchache Bodi ya Ligi ilitoa taarifa kwamba mechi hiyo itapigwa Juni 25, tofauti…

Read More

UDSM yamtunuku Rais AfDB udaktari wa heshima

Dar es Salaam. Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dk Akinwumi Adesina ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa sayansi na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ‘honoris causa’ kutokana na mchango wake  wa Afrika kupitia sera za fedha na programu bunifu za maendeleo. Dk Adesina ametunukiwa tuzo hiyo leo Ijumaa Juni 13,2025…

Read More

Kikosi cha Feisal, Yanga 5 Simba 2

LIGI Kuu Bara imesaliwa na jumla ya mechi 17 kabla ya msimu kufikia tamati, lakini kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amevunja ukimya kwa kutangaza kikosi chake cha msimu akiwajumuisha nyota watano wa Yanga na wawili wa Simba. Fei ambaye aliwahi kuichezea Yanga misimu miwili iliyopita amekuwa miongoni mwa mastaa wazawa wenye…

Read More

1,000 wachukua fomu ACT-Wazalendo kuelekea Uchaguzi Mkuu

Unguja. Zaidi ya wanachama ya 1,000 wa chama cha ACT-Wazalendo wamechukua fomu za kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia chama hicho ikiwemo urais, udiwani, uwakilishi na ubunge. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Juni 13, 2025 na Katibu wa Kamati ya Uchaguzi wa chama hicho, Mhene Said Rashid wakati akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya chama…

Read More

TET KUADHIMISHA MIAKA 50 KWA MAFANIKIO YA TAFITI ZENYE TIJA KATIKA SEKTA YA ELIMU

Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imeeleza kuwa katika kipindi cha miaka 50 tangu kuanzishwa kwake, imefanikiwa kufanya tafiti mbalimbali zilizosaidia kuimarisha uwezo wa kufanya maamuzi ya kisera kuhusu masuala ya ufundishaji na ujifunzaji, kwa kutumia ushahidi wa kitaalamu unaotokana na matokeo ya tafiti hizo. Akizungumza leo Juni 13, 2025 jijini Dar es Salaam katika semina…

Read More

MASAHIHISHO STORY YA UTIAJI SAINI TANZANIA NA RWANDA

Na Munir Shemweta, WANMM NGARA Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Makubaliano (Agreed Minutes) ya Uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo. Makubaliano hayo ni pamoja na Tanzania na Rwanda kuandaa Hati ya Makubaliano (MoU) ya Uimarishaji Mpaka wa Kimataifa. Utiaji saini huo umefanyika Juni 12, 2025 mara baada ya kukamilika kwa Kikao cha Kamati…

Read More