Tanzania Prisons washtuka, wajipanga upya

WAKATI Tanzania Prisons ikijiandaa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara, nahodha wa timu hiyo, Jumanne Elfadhil ametahadharisha wenzake kikosini kuwa tayari na historia yao na wapinzani hao ni ngumu wanapokutana uwanjani. Prisons inatarajia kuwa uwanjani Juni 18 kuikaribisha vinara wa Ligi Kuu na rekodi inaonyesha timu hizo zilipokutana katika mechi tano nyuma, Yanga…

Read More

Anayedaiwa kuuwa, kutoroka mikononi mwa polisi akamatwa

Njombe. Jeshi la polisi mkoani Njombe limemkamata Yuston Mwangalilwe (22) mkazi wa kijiji cha Ilembula ambaye alitoroka baada ya kufanya tukio la mauaji ya Andrew Kayombo lililotokea Aprili 2 mwaka huu huko wilayani Wanging’ombe. Katika kipindi Mei mwaka huu jeshi hilo limewakamata watuhumiwa 217 wakiwa na vielelezo mbalimbali ikiwemo pikipiki moja, televisheni 8, radio 6,…

Read More

Kikosi cha Feisal, Yanga 4 Simba 2

LIGI Kuu Bara imesaliwa na jumla ya mechi 17 kabla ya msimu kufikia tamati, lakini kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amevunja ukimya kwa kutangaza kikosi chake cha msimu akiwajumuisha nyota wanne wa Yanga na wawili wa Simba. Fei ambaye aliwahi kuichezea Yanga misimu miwili iliyopita amekuwa miongoni mwa mastaa wazawa wenye…

Read More

KAWAIDA AKAGUA MRADI WA MAJI MIJI 28 MPANDA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida (MCC) amekagua Mradi wa Maji Miji Wilaya ya Mpanda, Mkoa Katavi wenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni 22.9. Mradi hui unatarajiwa kuzalisha Lita milioni 12 za maji kwa siku huku ukilenga kuwanufaisha wakazi wote wa Manispaa ya Mpanda na…

Read More

KISHINDO CHA MAPOKEZI YA MWENYEKITI KAWAIDA MPANDA

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Ndg. Mohammed Ali Kawaida apokelewa Kwa kishindo na Vijana wa CCM Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi leo Ijumaa 13 Juni, 2025. Mwenyekiti anaendelea na Ziara yake ya Siku tatu za Kibabe inayohitimishwa leo katika Mkoa wa Katavi baada ya kutembelea wilaya za Mlele, Tanganyika…

Read More

Migogoro mitatu inayowatesa wananchi wa Dar

Dar es Salaam. Ndoa, mirathi, ardhi na utapeli, ndiyo migogoro inayotajwa kuusumbua zaidi Mkoa wa Dar es Salaam, huku ukatili wa kijinsia na kingono vikiwa baadhi ya vitendo vilivyoshika kasi katika mkoa huo. Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kukithiri kwa migogoro na vitendo hivyo, kunachochewa na makundi mbalimbali…

Read More