Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 14
Burudani

Makada CCM waendelea kujitosa ubunge, ushindani waongezeka majimboni

June 29, 2025 Admin

Dar/Mikoani. Mchakato wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge na udiwani katika Chama cha Mapinduzi (CCM) umeingia siku ya pili

Read More
Habari

Mikakati ya Tanesco kukomesha hitilafu gridi ya Taifa

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baada ya kukosekana kwa umeme kwa takriban saa mbili, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema tayari huduma hiyo imerejea maeneo yote nchini,

Read More
Habari

Profesa Ibrahim Juma ateuliwa Mkuu wa UDOM

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Mkuu mstaafu, Profesa Ibrahim Juma kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Profesa

Read More
Habari

Kwa nini umfiche mwenza wako kipato?

June 29, 2025 Admin

Canada. Hakuna kitu kizuri na chenye faida na furaha kwa wanandoa kama kutofichana mambo au siri.  Hapa tutaongelea athari na madhara ya kufichana kipato au

Read More
Michezo

Beki Mghana anukia Tabora United

June 29, 2025 Admin

KLABU ya Tabora United, iko katika mazungumzo na beki wa kushoto wa Bibiani Gold Stars, William Ntori Dankyi baada ya kuvutiwa na uwezo mkubwa wa

Read More
Habari

MTOTO WA MWASISI WA TANU NA CCM MZEE KAFITI AJITOSA UBUNGE ILEMELA

June 29, 2025 Admin

::::::: Mtoto wa Mwasisi wa Tanu na Ccm Mzee Kafiti ajitosa Ubunge Ilemela. Mjumbe wa mkutano mkuu wa Ccm Taifa akiwakilisha wilaya ya Ilemela Kafiti

Read More
Habari

Wanaume tusijifanye poa kumbe tunaangamia

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwezi huu pekee, tumeshuhudia ongezeko la matukio ya wanaume kujitoa uhai; kwa Tanzania tu, yametangazwa zaidi ya matukio manne, mengi yakiwa ya

Read More
Habari

JAMALI KASSIMU ALI ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE MAGOMENI ZANZIBAR

June 29, 2025 Admin

 :::::::: Aliekuwa waziri mstaafu wa fedha  zanzibar  Jamali Kassimu Ali achukua  fomu ya Ubunge  Jimbo la Magomeni

Read More
Habari

Polisi yatumia mabomu ya machozi kutawanya waumini wa Askofu Gwajima, KKAM

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetumia mabomu ya machozi kutawanya waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu

Read More
Michezo

Mpanzu, wenzake wana wiki mbili tu

June 29, 2025 Admin

SIKU chache tangu washindwe kuhimili kishindo cha Yanga na kukubali kichapo cha mabao 2-0 wakifunga msimu wa 2024-2025 bila taji, mastaa wa Simba akiwamo Elli

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.