Mikakati ya Tanesco kukomesha hitilafu gridi ya Taifa

Dar es Salaam. Baada ya kukosekana kwa umeme kwa takriban saa mbili, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema tayari huduma hiyo imerejea maeneo yote nchini, huku likiendelea na tathmini kubaini chanzo kikuu cha changamoto hiyo. Taarifa hiyo ya Tanesco, inakuja saa chache baada ya kutokea hitilafu katika gridi ya Taifa, iliyosababisha kukatika kwa umeme kuanzia…

Read More

Profesa Ibrahim Juma ateuliwa Mkuu wa UDOM

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Jaji Mkuu mstaafu, Profesa Ibrahim Juma kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Profesa Juma anachukua nafasi ya Dk Stergomena Tax ambaye ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. Uteuzi huo unakuja ikiwa ni siku 16 tangu Profesa Juma kustaafu wadhifa wa…

Read More

Kwa nini umfiche mwenza wako kipato?

Canada. Hakuna kitu kizuri na chenye faida na furaha kwa wanandoa kama kutofichana mambo au siri.  Hapa tutaongelea athari na madhara ya kufichana kipato au kila mwanandoa kuwa na chake badala ya chetu. Wanandoa wanapokuwa wawazi, licha ya kuwapa kuaminika na kujiamini, huwasaidia pale wanapokumbwa na misukosuko ya kifedha au kiuchumi kama vile kufilisika, kuachishwa…

Read More

Beki Mghana anukia Tabora United

KLABU ya Tabora United, iko katika mazungumzo na beki wa kushoto wa Bibiani Gold Stars, William Ntori Dankyi baada ya kuvutiwa na uwezo mkubwa wa nyota huyo raia wa Ghana aliouonyesha msimu ulioisha wa 2024-25, akikichezea kikosi hicho. Taarifa ambazo Mwanaspoti imezipata kutoka ndani ya uongozi wa timu hiyo, zimeliambia beki huyo aliyezaliwa Septemba 4,…

Read More

Wanaume tusijifanye poa kumbe tunaangamia

Dar es Salaam. Mwezi huu pekee, tumeshuhudia ongezeko la matukio ya wanaume kujitoa uhai; kwa Tanzania tu, yametangazwa zaidi ya matukio manne, mengi yakiwa ya vijana. Lakini tukubaliane: hili si jambo jipya. Takwimu zimekuwa zikituonyesha kwa muda mrefu kuwa wanaume ndiyo tunaongoza kwa kujitoa uhai.  Sababu ni nyingi; msongo wa mawazo, majukumu ya maisha, kutokuwa…

Read More

Mpanzu, wenzake wana wiki mbili tu

SIKU chache tangu washindwe kuhimili kishindo cha Yanga na kukubali kichapo cha mabao 2-0 wakifunga msimu wa 2024-2025 bila taji, mastaa wa Simba akiwamo Elli Mpanzu na Jean Charles Ahoua wamepewa wiki mbili za kupumzika kabla ya kurejea kujiandaa na msimu ujao. Hatua ya mastaa hao kupewa likizo fupi imeelezwa kutokana na mipango aliyonayo Kocha…

Read More