Usichokijua unapochangia damu | Mwananchi

Mwanza. ‘Bila mafuta, gari haliwezi kuendeshwa, vivyo hivyo bila damu, mwili hauwezi kufanya kazi’ ndivyo unavyoweza kuelezea umuhimu wa damu katika mwili na maisha ya mwanadamu. Watalaamu wa afya wanasema bila damu hakuna usafirishaji wa hewa ya oksijeni na virutubisho mwilini wala kuratibu wa mfumo wa kinga mwilini,  ili kupambana na maambukizi mbalimbali ya magonjwa…

Read More

Maaskofu 500 wa kanisa la Gwajima watinga mahakamani

Dodoma. Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima, limefungua kesi Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma, likiomba amri ya muda ya kuondoa zuio lililowekwa na Serikali dhidi ya kuendelea kwa shughuli zake za kidini, huku ikiripotiwa takribani maaskofu 500 wamefika kusikiliza kesi hiyo. Kesi hiyo inalenga kulinda hadhi ya…

Read More

Kitendo cha Bahari kiliongezeka barani Afrika kama viongozi wa bioanuwai wanataka umoja wa haraka, mageuzi ya ufadhili – maswala ya ulimwengu

Wavuvi katika Ziwa la Victoria la Tanzania walinyakua nyavu za uvuvi ili kuzuia uvuvi mwingi wa hisa za Nile za Nile. Mikopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Nzuri, Ufaransa) Ijumaa, Juni 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Nice, Ufaransa, Jun 13 (IPS) – Kama mapazia yanavyochora kwenye Mkutano wa Bahari ya UN, utaftaji wa…

Read More

JAJI MASAJU ATEULIWA KUWA JAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANI

 …….. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Kwa mujibu wa Taarifa ambayo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt Moses Kusiluka imeeleza kuwa Msaju anachukia nafasi ya Profesa Ibrahim Juma ambaye amestaafua. Aidha imeeleza…

Read More

Wakongwe watikisika BDL | Mwanaspoti

KIUT na DB Oratory zimeendelea kuzitikisa timu kongwe zinazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) kutokana na kutokuzihofia na kuzitembezea vichapo. KIUT ilionyesha ubabe wake kwa kuichapa JKT kwa pointi 84-74, kisha kuifunga UDSM Outsiders kwa pointi 64-53 na kocha wa timu hiyo, Denisi Funganoti alisema mipango waliyojiwekea ya kufanya vizuri katika…

Read More

Noela, Juliana wachuana kwa asisti

WAKATI ushindani kwa timu za wanawake ukizidi kushika kasi katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (WBDL), kwa upande wa asisti, Noela Uwendameno kutoka  Jeshi Stars anaongoza kwa kutoa 34. Noela ambaye msimu uliopita aliichezea Vijana Queens, msimu huu ameonyesha kiwango kizuri akiwa na Jeshi Stars, huku Juliana Sambwe wa Tausi Royals anayecheza nafasi ya…

Read More

Othman ataka machungu ya historia ya Zanzibar yaandikwe

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman ameeleza wajibu na umuhimu wa kuandika historia ya kweli ya Zanzibar, hata ikiwa ina matamu na machungu. Amesema historia ya nchi haipaswi kuandikwa kwa ‘kalamu ya kisiasa’, bali inapaswa kuandikwa kwa kuzingatia misingi ya haki na ukweli, kwa maslahi ya vizazi vyote vya sasa…

Read More

Fountain Gate, Tabora zimepishana kidogo tu

KIJIWENI kwetu hapa tulikuwa tunautazama msimamo wa Ligi Kuu Bara wakati huu ambao zimebaki raundi mbili msimu wa 2024/2025 umalizike. Tukawaona jamaa zetu wa kule Babati, Manyara, Fountain Gate wapo katika nafasi ya 14 kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 29 katika mechi 28 ilizocheza hadi sasa ikipata ushindi mara nane na kutoka sare tano na…

Read More