SMZ yapandisha ushuru wa mafuta, masheha waongezwa mshahara

Unguja. Bajeti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kwa mwaka wa fedha 2025/2026 imependekeza kuongeza viwango vya ushuru katika bidhaa mbalimbali, zikiwemo dizeli, petroli, pombe kali, mvinyo na shisha, hatua inayotarajiwa kuongeza mapato ya Serikali kwa kiasi cha Sh38.27 bilioni. Mbali na mapendekezo hayo ya nyongeza ya ushuru, bajeti hiyo pia imejumuisha ongezeko la…

Read More

Wanandoa wauawa Tabata, dada asimulia

Dar es Salaam. Ni nani amewaua wanandoa Antony Ngaboli (46) na Anna Amiri (39)? Hili ni swali linaloulizwa na kila mmoja aliyefika nyumbani kwa wawili hao eneo la Tabata Bonyokwa GK, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam kujua chanzo cha kifo chao. Tukio hilo limetokea usiku wa kumkia leo Alhamisi, Juni 12, 2025 baada ya…

Read More

Bajeti kiduchu kwa vijana, deni la Taifa likipewa kipaumbele

Dar es Salaam. Wakati vijana wakiwa ndiyo nguvu kazi inayotegemewa katika kujenga uchumi shindani, lakini ndilo kundi lililotengewa fedha kiduchu katika bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha 2025/26, huku robo ya bajeti hiyo ikielekezwa kulipa deni la Taifa. Katika bajeti hiyo ya Sh56.49 trilioni, kundi la vijana limetengewa Sh38.4 bilioni, ikiwa ni kiwango kidogo…

Read More

KILA MTANZANIA ANADAIWA TSHILINGI 1.6

 ::::::: Kila Mtanzania anadaiwa takribani Sh. 1,668,176.80 kulingana na deni la Taifa ambalo limefikia Sh. trilioni 107.7, Machi 2025, kutoka Sh. trilioni 91.7 Machi mwaka jana.  Hii ni kwa sababu idadi ya Watanzania imeongezeka hadi 64,241,822 mwaka 2024 kulinganishwa na watu 61,718,700 mwaka 2023.  Akiwasilisha leo bungeni Juni 12, 2025 taarifa ya Hali ya Uchumi…

Read More

TEKSI ZA MTANDAONI ZAVUTIA AJIRA MPYA

:::::: Arusha, Tanzania   Mabadiliko ya ajira kutoka kazi za ofisini kwenda kwenye sekta ya usafirishaji kwa njia ya mtandao (ride-hailing) yameendelea kuwa njia mbadala kwa baadhi ya viinjana wanaotafuta kipato chenye uhuru zaidi wa muda na fedha.  Akizungumza jijini Arusha mmoja wa wanaufaika wa huduma ya usafirisshaji ya bolt Laurence Mollel amesema kuwa Mwaka 2021,…

Read More

Vipaumbele tofauti bajeti za Afrika Mashariki zikiongezeka

Dar es Salaam. Mawaziri wa Fedha wa Afrika Mashariki wamewasilisha bajeti kuu za Serikali zao kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku wakikabiliwa na mazingira magumu ya kiuchumi pamoja na mizozo ya kisiasa duniani na katika kanda. Nchi zilizowasilisha bajeti zao leo Juni 12, 2025 ni Tanzania, Kenya, Uganda na Rwanda zinazonesha tofauti katika vipaumbele huku…

Read More

CP WAKULYAMBA AFUNGA MAFUNZO YA WATUMISHI JESHI LA UHIFADHI NA KUSISITIZA NIDHAMU NA UADILIFU KATIKA UTENDAJI KAZI

Kassim Nyaki, Karatu Arusha. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii anayesimamia Maliasili CP. Benedict Wakulyamba amefunga mafunzo ya Afisa na Askari wa Jeshi la Uhifadhi NCAA yaliyofanyika katika kituo cha Mafunzo ya jeshi la Uhifadhi Mbulumbulu Wilaya ya Karatu Mkoani Arusha. Akifunga mafunzo hayo yenye wahitimu 25 wanaojumuisha Naibu Kamishna mmoja (01),…

Read More