SIMBA YADAI KUTOSHIRIKI MCHEZO MWINGINE NA YANGA

:::: Klabu ya Simba imesema itaingia uwanjani Juni 15, 2025 kwa ajili ya kushiriki mchezo namba 184 dhidi ya Yanga SC kama ilivyopangwa na Bodi ya Ligi Kuu. Aidha, imesema mabadiliko yoyote ya kujaribu kuahirisha mchezo huo ni batili na kinyume na taratibu za uendeshaji wa mpira wa miguu, na kwamba haitashiriki mchezo wowote wa…

Read More

DKT. NCHIMBI AKIFUATILIA BAJETI KUU YA SERIKALI

::::: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akifuatilia Hotuba ya Mapendekezo ya Serikali kuhusu Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2025/2026 akiwa ofisini kwake, katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM jijini Dodoma, leo Alhamisi, tarehe 12 Juni 2025. Pamoja naye ni maofisa waandamizi wa CCM Makao Makuu.  #Ends

Read More

Upelelezi kesi ya kuporomoka jengo Kariakoo, haujakamilika

Dar es Salaam. Upande wa mashtaka katika kesi ya kuua bila kukusudia inayowakabili watu sita wakiwemo wamiliki wa jengo lililoporomoka mtaa wa Mchikichi na Congo, eneo la Kariakoo, umedai kuwa bado unaendelea na uchunguzi. Wakili wa Serikali, Roida Mwakamele ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Alhamisi Juni 12, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa…

Read More

Straika Coastal yamemtibukia Bara | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Maabad Maulid huenda akakosa mechi zote mbili zilizosalia za kumaliza Ligi Kuu Bara msimu huu, kutokana na kutokuwa fiti kwa asilimia 100 kwa sasa, baada ya nyota huyo kujiumiza tena goti lake la mguu wa kulia. Nyota huyo alipata majeraha hayo dhidi ya Singida Black Stars, ambao kikosi hicho cha Coastal…

Read More

Ushuru kwa ‘energy drink’ kupungua

Dar es Salaam. Serikali imepunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu ‘energy drink’, huku ikitoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha asilimia tano katika aisikrimu (lambalamba) na soseji zinazozalishwa nchini. Ushuru wa bidhaa ya vinywaji hivyo vinavyozalishwa ndani ya nchi, imepungua kutoka Sh561 kwa kila lita hadi Sh134.2 kwa kila lita….

Read More