Vipaumbele bajeti 2025/26 | Mwananchi

Dar es Salaam. Kugharamia Uchaguzi Mkuu wa baadaye mwaka huu na maandalizi ya viwanja kwa ajili ya michuano ya Afcon 2027, ni miongoni mwa vipaumbele vilivyowekwa na Serikali katika bajeti yake kuu ya mwaka wa fedha 2025/26. Sambamba na vipaumbele hivyo, vingine vitakavyotekelezwa na bajeti hiyo ni utekelezaji na uendelezaji wa miradi ya kimkakati, kuimarisha…

Read More

KMC yasaka dawa mechi za ugenini

KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema kwa sasa yeye na kikosi hicho, wamejichimbia kutafuta dawa ya kusaka ushindi ugenini katika mechi mbili za kuamua hatma yao ya kucheza msimu ujao kwa kujenga umoja na ushirikiano baina na benchi na wachezaji. KMC ambayo ipo nafasi ya tisa kwenye msimamo ikiwa na pointi 33 inatarajia kumaliza…

Read More

Kicheko kwa bodaboda kodi ikipungua

Dar es Salaam. Idadi ya pikipiki zinazojihusisha na biashara ya kubeba abiria, maarufu kama bodaboda, huenda ikaongezeka maradufu kufuatia hatua ya Serikali kupunguza kwa asilimia 50 ada ya usajili wa vyombo hivyo vya moto. Hatua hiyo ni matokeo ya pendekezo la marekebisho ya Kanuni za Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 2024. Pendekezo hilo limetolewa…

Read More

Tapa yatwishwa zigo la mmomonyoko wa maadili

Iringa. Chama cha Wanasaikolojia Tanzania (Tapa) kimetakiwa kuchukua hatua za haraka na za kisayansi katika kuimarisha afya ya akili ya wananchi, kama njia muhimu ya kukabiliana na mmomonyoko wa maadili unaoendelea kushamiri nchini. Mmomonyoko huo umetajwa kuwa chanzo kikuu cha kushuka kwa tija ya kitaifa, migogoro ya kifamilia, udhaifu katika uongozi, pamoja na ongezeko la…

Read More

Ajali ya ndege yaua abiria 242, hakuna aliyepona

Mamlaka nchini India zimeilieleza Shirika la Habari la Associated Press kuwa hakuna aliyenusurika kwenye ajali ya ndege ya Shirika la Ndege la Air India iliyoanguka eneo la makazi la Meghani Nagar nchini India ikiwa safarini kuelekea jijini London nchini Uingereza, huku viongozi mbalimbali duniani wakituma salamu za rambirambi. Ndege hiyo iliyokuwa na jumla ya abiria…

Read More