Srelio yainyoosha Mgulani JKT | Mwanaspoti

BAADA ya Srelio kuifunga Mgulani JKT kwa pointi 107-64, kocha wa timu hiyo Miyasi Nyamoko amesema ushindi huo umewanyooshea njia ya kucheza hatua ya nane bora. Tambo za kocha huyo zimekuja baada ya kuwepo na muunganiko mzuri wa wachezaji wake kwa sasa, tofauti ilivyokuwa katika michezo yao ya mwanzo. “Timu ilikuwa inabezwa na kila mtu…

Read More

Salim, Abel ndio wanamponza Camara

MOUSSA Camara ni kipa mzuri lakini amekuwa na makosa fulani hivi yanayoigharimu Simba, huo ndio ukweli mchungu hata kama unauma. Mfano tu ni ile mechi ya duru la kwanza wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga ambayo alisababisha bao jepesi la kujifunga la beki Kelvin Kijili katika dakika za jiooooni za mchezo huo lililowapa wapinzani…

Read More

Sekta tatu zilivyobeba uchumi mwaka 2024

Dar es Salaam.  Wakati pato halisi la Taifa lilifikia Sh156.6 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh148.5 trilioni mwaka uliotangulia, sekta tatu pekee zimetajwa kuchangia takribani nusu ya pato hilo. Sekta hizo ni kilimo kilichochangia asilimia 26.3, ujenzi asilimia 12.8 na uchimbaji wa madini na mawe asilimia 10.1. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango Na Uwekezaji,…

Read More

Gaucho anukia umeneja Simba Queens

MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens imepanga kumpa heshima mshambuliaji mkongwe wa timu hiyo, Mwanahamisi Omary ‘Gaucho’ kwa kumtunuku cheo cha umeneja wa timu. Gaucho aliyehudumu kikosini hapo kwa takribani misimu nane kwa sasa tangu alipojiunga akitokea Mlandizi Queens iliyoweka heshima ya kuwa timu ya kwanza kubeba ubingwa wa WPL….

Read More

Opah Clement ndo basi tena FC Juzrez

KLABU ya FC Juarez ya Mexico imeachana na mshambuliaji wa Kitanzania, Opah Clement baada ya kuhudumu kikosini hapo kwa msimu mmoja. Opah alijiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo  akitokea Henan Jianye ya China alikocheza msimu mmoja. Kupitia taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa Instagram wa klabu hiyo imetangaza kuachana na nyota huyo…

Read More

Boban, Redondo wana jambo lao Arusha

NYOTA mbalimbali waliowahi kucheza kwa mafanikio makubwa katika michuano ya Kombe la Klabu za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) wakiwamo Haruna Moshi ‘Boban’, Abdallah Kibadeni, Ramadhani Chombo ‘Redondo’ na wengine wana jambo lao jijini Arusha kuanzia kesho Ijumaa. Nyota hao na wale wa klabu za nchi za Kenya, Uganda na Rwanda wanatarajiwa kuchuana katika michuano…

Read More

Chama tawala Burundi chashinda viti vyote vya ubunge

Bujumbura. Chama tawala cha muda mrefu nchini Burundi, National Council for the Defense of Democracy–Forces for the Defense of Democracy (CNDD-FDD), kimeibuka mshindi wa viti vyote vya Bunge. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (CENI) ilitangaza matokeo hayo jana Jumatano, Juni 11, 2025, ambapo mwenyekiti wa tume hiyo, Prosper Ntahorwamiye, alisema kuwa CNDD-FDD ilijinyakulia asilimia 96.51…

Read More

Ndege yaanguka ikiwa na abiria 242, yawaka moto

Ndege ya Shirika la Ndege la Air India iliyokuwa ikielekea jijini London nchini Uingereza imeanguka katika eneo la makazi la Meghani Nagar nchini India ikiwa na jumla ya abiria na wahudumu 242. Ndege hiyo inadaiwa kudondoka ardhini muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Ahmedabad Saa 7:38 mchana leo Alhamisi, Juni 12,…

Read More

Maisha yameenda kasi sana kwa Yao

YAO Kouassi Attohoula alipokuja kujiunga na kuanza kuitumikia Yanga, mambo yalimwendea vizuri sana hadi akateka hisia za mashabiki wa timu hiyo na wadau wengi wa soka. Uwezo wake mzuri wa kujilinda lakini kusaidia kupeleka mbele mashambulizi ulifanya karibia wote hapa kijiweni tukubaliane jamaa ni beki wa pembeni wa kisasa kutokana na anavyofanya vizuri katika maboksi…

Read More