Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 15
Habari

Hizi ndizo aina za waume, uko kundi gani?

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanawake walioolewa “wake”, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna

Read More
Michezo

Fainali ya FA Yanga v Singida BS vita ipo hapa

June 29, 2025 Admin

ZANZIBAR: IMEPITA takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga. Safari hii

Read More
Habari

ACT-Wazalendo kuja na ‘Operesheni Majimaji’

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kuja na kampeni ya ‘Operesheni Majimaji’ yenye lengo la kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura zao. Operesheni

Read More
Michezo

Evalisto aendelea kusubiri ofa mpya

June 29, 2025 Admin

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Makadi FC ya Misri, Oscar Evalisto amesema bado hajasaini mkataba mpya kwenye klabu hiyo, akisubiri ofa kutoka timu nyingine. Evalisto alimaliza

Read More
Habari

MTATURU ACHUKUA FOMU JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.

June 29, 2025 Admin

  Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo la Ikungi Mashariki.

Read More
Habari

Hizi ndio aina za waume, uko kundi gani?

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanawake walioolewa “wake”, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna

Read More
Habari

Waumini wa Askofu Gwajima waizidi mbinu Polisi, waibukia kanisa la KKAM

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Baada ya Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kudhibiti eneo lote la pembezoni mwa barabara ya kutoka Ubungo maji hadi Kibo

Read More
Kimataifa

Njia ya ubunifu ya Indonesia kwa maendeleo endelevu – maswala ya ulimwengu

June 29, 2025 Admin

Nchi ya Asia ya Kusini tayari imeongeza karibu dola bilioni 12 kwa vifungo vya mada, pamoja na vifungo vya bluu na vyombo vya uwekezaji vya

Read More
Habari

Haya hapa makao makuu mapya ya Chaumma

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepata jengo litakalotumia kama ofisi yake ya makao makuu mapya. Uamuzi huo utakifanya chama hicho

Read More
Habari

ETDCO YANG’ARA TUZO SEKTA YA UJENZI

June 29, 2025 Admin

Mwakilishi wa Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya ETDCO, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa kampuni hiyo, Mhandisi Dismas (wa pili kutoka kushoto), akipokea

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 14 15 16 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.