Hizi ndizo aina za waume, uko kundi gani?

Dar es Salaam. Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanawake walioolewa “wake”, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna waume zao wanavyoishi au wanavyofanya. Huyu analalamika mume wangu yuko hivi, na yule naye anasema mume wangu yuko vile. Mmoja anasema mume wangu anafanya hivi na mwingine analia mume wangu…

Read More

Fainali ya FA Yanga v Singida BS vita ipo hapa

ZANZIBAR: IMEPITA takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga. Safari hii itakuwa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) itakayofanyika Jumapili ya Juni 29, 2025 kuanzia saa 2:15 usiku. Mara ya mwisho timu hizo zilikutana uwanjani hapo katika mchezo wa Ligi Kuu…

Read More

ACT-Wazalendo kuja na ‘Operesheni Majimaji’

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza kuja na kampeni ya ‘Operesheni Majimaji’ yenye lengo la kuwaamsha Watanzania kurejesha thamani ya kura zao. Operesheni hiyo inakuja wakati ikiwa imebaki miezi mitatu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa kumchagua Rais, wabunge na Madiwani hapo Oktoba, 2025. Akizungumza leo Jumapili, Juni 29, 2025, makao Makuu…

Read More

Evalisto aendelea kusubiri ofa mpya

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Makadi FC ya Misri, Oscar Evalisto amesema bado hajasaini mkataba mpya kwenye klabu hiyo, akisubiri ofa kutoka timu nyingine. Evalisto alimaliza mkataba wa miezi sita na Makadi FC mwezi Machi mwaka huu, akiwa ametokea Mlandege FC ya Zanzibar. Akizungumza na Mwanaspoti, Evalisto alisema bado anaendelea na mazungumzo na timu mbalimbali kutoka…

Read More

MTATURU ACHUKUA FOMU JIMBO LA IKUNGI MASHARIKI.

  Mbunge wa Singida Mashariki,Miraji Mtaturu amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia jimbo la Ikungi Mashariki. Jina la Jimbo hilo limetokana na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kubadilisha jina la awali la Singida Mashariki kuwa Ikungi Mashariki na Singida Magharibi kuwa Ikungi Magharibi. Mtaturu amekabidhiwa…

Read More

Hizi ndio aina za waume, uko kundi gani?

Dar es Salaam. Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanawake walioolewa “wake”, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna waume zao wanavyoishi au wanavyofanya. Huyu analalamika mume wangu yuko hivi, na yule naye anasema mume wangu yuko vile. Mmoja anasema mume wangu anafanya hivi na mwingine analia mume wangu…

Read More

Haya hapa makao makuu mapya ya Chaumma

Dar es Salaam. Hatimaye Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimepata jengo litakalotumia kama ofisi yake ya makao makuu mapya. Uamuzi huo utakifanya chama hicho kinachoongozwa na Mwenyekiti wake, Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa kuhamisha makao makuu yake kutoka yalipo sasa Makumbusho kwenda Kinondoni. Ofisi hizo mpya, zipo katika Mtaa wa Kumbukumbu Biafra, Kinondoni,…

Read More

ETDCO YANG’ARA TUZO SEKTA YA UJENZI

Mwakilishi wa Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya ETDCO, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa kampuni hiyo, Mhandisi Dismas (wa pili kutoka kushoto), akipokea Tuzo ya Heshima ya Sekta ya Ujenzi kutoka kwa Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Gaudence Mmassy. Tuzo hizo zimeandaliwa na Construction Times Gala and Award…

Read More