Macho na masikio yako hapa bajeti ikisomwa leo

Wabunge wameeleza matarajio yao katika bajeti ya Serikali ya lala salama kabla ya kuvunjwa kwa Bunge la 12 huku wengine wakionesha hofu ya kusuasua kwa upelekwaji wa fedha za maendeleo. Machi 11,2025, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba aliwasilisha Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 huku ikionyesha ongezeko la asilimia 13, ikikua kutoka…

Read More

Migogoro ya Kijeshi huko High High kama Ishara za Amerika Kurudi kutoka Hatua ya Ulimwengu – Maswala ya Ulimwenguni

Tukio la uharibifu unaosababishwa na vita huko Ukraine. Mikopo: Unocha/Dmytro Filipskyy Maoni na Taasisi ya Utafiti wa Amani Oslo (Oslo, Norway) Alhamisi, Juni 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari OSLO, Norway, Jun 12 (IPS) – Ulimwengu unakabiliwa na kuongezeka kwa vurugu ambazo hazionekani tangu wakati wa Vita vya Kidunia vya pili. 2024 iliashiria rekodi…

Read More

Kicheko na maumivu ya bodaboda, bajaji za mkataba

Katika miaka ya hivi karibuni, mfumo wa vijana kumiliki pikipiki kupitia mikataba ya malipo ya awamu kati yao na wamiliki wa vyombo hivyo umeenea kwa kasi. Mtindo huu, unaojulikana maarufu mitaani kama “bodaboda za mkataba”, umeonekana kuwa njia rahisi inayowasaidia vijana kumiliki vyombo vya usafiri kama pikipiki au bajaji, na hivyo kujitegemea kiuchumi. Hata hivyo,…

Read More

Sarakasi za dabi zinavyotoboa mifuko ya watu

Katika historia ya michezo nchini Tanzania, hakuna tukio linalovuta hisia za watu kama pambano la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba. Hii ni zaidi ya mechi; ni tamasha la kijamii, kiuchumi, na kiutamaduni. Hivyo basi, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC wenye namba 184 ambao umekuwa ukisubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki na wadau…

Read More

Matarajio Zanzibar bajeti ya Serikali leo

Wananchi na wataalamu mbalimbali visiwani humu wamekuwa na maoni tofauti kuhusu bajeti ya Serikali inayotarajiwa wakitaka ijikite katika kuinua uchumi wa mwananchi mmojammoja, kugusia msamaha wa kodi wa biashara changa na ushirikishwaji wa sekta binafsi.. Mtaalamu wa masuala ya uchumi na mshauri binafsi katika sera na uchumi, Dk Twahir Mohamed Khalfan amesema bado kuna kazi…

Read More

Ukuaji wa uchumi wa dunia washuka, Tanzania wapaa

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya ukuaji wa uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu. Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024…

Read More

Maamuzi sahihi ni yapi, kujenga au kupanga

Ndoto ya kuwa na nyumba yako mwenyewe ni tamaa ya kawaida kwa watu wengi. Hata hivyo, maamuzi ya kujenga au kupanga yanahitaji kufanywa kwa makini ili kuepuka kuongeza gharama za maisha bila sababu za msingi. Wengi wetu tunasukumwa kujenga kutokana na shinikizo la kijamii, ndugu, jamaa na marafiki. Msukumo huu mara nyingi huleta presha ya…

Read More