WAJUMBE HALMASHAURI KUU CCM WILAYA YA MOROGORO WALAZIMISHWA KUZIMA SIMU ZAO ILI KUWADHIBITI WAVUJISHA SIRI WAKATI WA KIKAO

Na Mwandishi Wetu,Morogoro WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Morogoro wamelazimika kuhudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya  chama hicho Wilaya huku wakitakiwa kuzima  simu  huku lengo ikidaiwa kuwa ni  kudhibiti  ‘uvujishaji wa siri za kikao hicho. Hatua hiyo imedaiwa kutokana na agizo lililotolewa na Katibu wa Chama hicho wa Wilaya…

Read More

Uchumi wa dunia washuka, Tanzania wapaa

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema kuwa licha ya hali ya uchumi duniani kuendelea kuyumba, Tanzania imeonyesha uimara kwa kuendelea kukuza uchumi wake kwa kasi na ustahimilivu wa hali ya juu. Akitoa Taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango…

Read More

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI ZANZIBAR AZINDUA MAONYESHO YA MADINI LINDI

Waziri wa Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Shaibu Hassan Kaduara, amezindua rasmi awamu ya pili ya Maonyesho ya Madini (Lindi Mining Expo) mkoani Lindi, yakilenga kuvutia wawekezaji na kutangaza fursa mbalimbali za rasilimali madini zinazopatikana mkoani humo. Waziri wa Nishati na Madini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mheshimiwa Shaibu Hassan Kaduara,…

Read More

WASIRA:MCHAWI WA CHADEMA NI CHADEMA WENYEWE

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kinachoitafuna CHADEMA kwa sasa ni matokeo ya misuguano iliyotokana na uchaguzi wa kupata viongozi wa juu wa chama hicho uliogubikwa na lugha za matusi na kukashfiana. Ameeleza hayo alipokuwa akizungumza katika kikao cha ndani kilichohusisha viongozi wa CCM Wilaya ya Nyasa, katika mji wa Mbamba Bay…

Read More

Dharura ya hali ya hewa ni shida ya kiafya ‘ambayo tayari inatuua,’ anasema ni nani – maswala ya ulimwengu

Ulaya ina joto haraka kuliko nyingine yoyote WHO mkoana athari kwa afya ya watu inakua kali zaidi. Kutoka kwa kuongezeka kwa viwango vya vifo hadi kuongezeka kwa wasiwasi unaohusiana na hali ya hewa, karibu kila kiashiria cha afya kinachohusishwa na hali ya hewa kimezidi kuwa mbaya katika miaka ya hivi karibuni. Kwa kujibu, Nani/Ulaya Jumatano…

Read More

Ofisa Habari KenGold anusurika kwenda jela

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Timu ya Mpira wa Miguu ya KenGold Sport Club, Joseph Mkoko(34), kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada ya kupatikana na hatia ya kuomba na kupokea rushwa. Mkoko anadaiwa kuomba rushwa ya Sh1.5 milioni kutoka kwa mchezaji wa zamani wa  timu…

Read More

Kyaruzi aitega Mtibwa Sugar | Mwanaspoti

BEKI mkongwe wa zamani wa Kagera Sugar, Erick Kyaruzi ‘Mopa’ amesema ametimiza malengo aliyopewa na Mtibwa Sugar kuhakikisha anaisaidia kurejea Ligi Kuu Bara, huku akijivunia kutoa mchango mkubwa kwa kufunga mabao sita kwenye Ligi ya Championship msimu huu. Kyaruzi akiwa sehemu ya kikosi cha Mtibwa Sugar msimu huu katika Ligi ya Championship ameiwezesha kuwa bingwa…

Read More