Rais Samia kufanya ziara mikoani, Msumbiji na Comoro
Dodoma. Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mikoa ya Simiyu na Mwanza pamoja na nchi za Msumbiji na Comoro. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Juni 11, 2025, Msigwa amesema akiwa mikoa hiyo, Rais Samia atatembelea miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi. Amesema Juni…