Chaumma yawaweka kati CCM, Chadema

Nyasa/Same. Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na wale wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ‘wamevutana’ juu ya baadhi ya makada wa Chadema kutimkia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma). Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira amedai mgogoro uliopo ndani ya Chadema na wanachama wake ndiyo uliosababisha wenzao kutimkia Chaumma. Makamu Mwenyekiti wa…

Read More

CHACHA NYANDONGO,SAUTI YA WAONGOZA WATALII TANZANIA

Na Pamela Mollel Arusha, Katika sekta ya utalii nchini Tanzania, jina la Chacha Nyandongo si geni tena. Akiwa na zaidi ya miaka 20 ya uzoefu kama mwongoza watalii, Chacha amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na weledi, uzalendo na mapenzi yake katika kazi ya kuongoza watalii nchini Tanzania Kwa sasa, Chacha anawakilisha kampuni ya Ndoto Kubwa Tours,…

Read More

Fundi wa Danadana, Hadhara afia chumbani, mwili waharibika kuzikwa usiku huu

FUNDI wa danadana, mwanadada Hadhara Charles ambaye mwili wake umekutwa umefia chumbani tangu siku tatu zilizopita unazikwa usiku huu nyumbani kwake Chanika jijini Dar es Salaam. Hadhara aliyejizolea umaarufu mkubwa enzi za uhai wake kwa kipaji cha kuuchezea mpira atakavyo, amekutwa amefariki dunia ndani akiwa peke yake. Mdogo wa Hadhara aliyejitambulisha kwa jina la Mama Raiyan…

Read More

Mzee adaiwa kujinyonga kisa mbuzi

Arusha. Mkazi wa Kijiji cha Nambere, Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, Joseph Melau ambaye anakadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 60 na 65, inadaiwa amefariki dunia kwa kujinyonga ndani ya nyumba yake. Tukio hilo linadaiwa kusababishwa na msongo wa mawazo uliotokana na kudhulumiwa mbuzi wake wawili. Kwa mujibu wa taarifa za awali, Melau alinunua…

Read More

DKT. DIMWA AWAFUNDA VIONGOZI WA CCM SHULE YA MWALIMU NYERERE

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Mohamed Said Dimwa amewaasa wanachama wa Chama hicho kuepuka makundi ya uhasama, uzandii wakisiasa na udhaifu katika maamuzi wakati wa kuelekea katika kipindi cha uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika Oktoba 2025. “Chama chetu cha CCM kimejiimarisha kwa kuwa na mikakati ya kisayansi na madhubuti ya kuhakikisha…

Read More

KIKAO KAZI CHA KUPITIA NA KUTHIBITISHA RASIMU YA MPANGO MKAKATI WA TAIFA WA KUZUIA KUZAMA MAJI CHAFANYIKA DODOMA

  Na Mwandishi wetu Dodoma. Kikao kazi cha kupitia na kuthibitisha Rasimu ya Mpango Mkakati wa Taifa wa Kuzuia Kuzama Maji chafanyika tarehe 11 Juni, 2025 katika ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na uokoa Jijini Dodoma. Kikao hicho kimewashirikisha Wawakilishi kutoka Wizara, Taasisi na Idara za Serikali, Mashirika ya Kimataifa, Asasi zisizo…

Read More