RC Andengenye: Jamii Iliyostaarabika huishi kwa kuheshimiana

Kigoma. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye ametoa rai kwa jamii kuachana na mila na desturi zinazochochea ubaguzi na unyanyapaa dhidi ya watu wenye ulemavu na wasiojiweza. Kwa mujibu wa Andengenye vitendo hivyo vinakiuka misingi ya utu na vinadhoofisha ustaarabu wa jamii. Amesisitiza kuwa jamii iliyostaarabika hujengwa kwa misingi ya heshima, usawa na mshikamano,…

Read More

Bosi wa Jatu ‘amwangukia tena DPP’

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu  wa Kampuni ya JATU  PLC, Peter Gasaya ( 33) anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, amemwandika barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP), akiomba kukiri na apunguziwe adhabu ili aweze kuimaliza kesi yake. Gusaya anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha kiasi…

Read More

Simulizi mlima wa mauti Mbeya

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota maiti za ajali mara kwa mara, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua. Wamesema eneo hilo limekuwa hatari kwa ajali za mara kwa mara zinazohusisha pikipiki, bajaji, hiace na magari ya abiria…

Read More

Mashujaa yaitaka nafasi ya Tabora United

UONGOZI wa Mashujaa ya Kigoma umefunguka kuwa mikakati iliyopo kwa sasa ni kushinda mechi mbili za mwisho zilizosalia ili kumaliza katika nafasi ya tano kwenye Ligi Kuu Bara iliyosaliwa mechi za raundi mbili kwa sasa kabla ya kufikia tamati Juni 22. Mashujaa kwa sasa inashika nafasi ya nane katika msimamo kwa pointi 33 baada ya…

Read More