Tour Guides Commend NCAA for Strategic Road Upgrades Ahead of Peak Tourism Season

By Our Reporter, Ngorongoro Tour operators from across the country have commended the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA) for its strategic efforts to upgrade road infrastructure within the Ngorongoro Conservation Area, describing the improvements as a significant step forward in enhancing the region’s tourism capacity. The guides pointed out that by enhancing accessibility, guaranteeing safer…

Read More

Sura mbili mpya zaonekana mazoezini Simba

KATIKA mazoezi ya Simba ambayo timu hiyo inaendelea kujiandaa na michezo mitatu ya Ligi Kuu Bara iliyosalia, kuna sura mbili za wachezaji wapya wakijifua. Achana na kiungo mzawa Morice Abraham (22) ambaye alikuwa na kikosi hicho akifanya mazoezi tangu Aprili mwaka huu, kuna nyota wengine wapya wawili. Abraham ambaye alikuwa akiitumikia FK Spartak Subotica ya…

Read More

Mama, mtoto wajeruhiwa mahari ikitajwa

Rorya. Kuishi na mwanamke kwa takriban miaka minne bila kufunga ndoa kunadaiwa kuwa chanzo cha mtafaruku mkubwa wa kifamilia wilayani Rorya, mkoani Mara, hali iliyosababisha mwanamke mmoja na mtoto wake wa mwaka mmoja kujeruhiwa vibaya kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali. Night Mchama (27) na mwanawe kwa sasa wamelazwa katika Hospitali ya Kanisa la…

Read More

DKT.DIMWA : ATOA WITO KWA WANAWAKE NCHINI

Na Mwandishi Wetu,Zanzibar. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa wito kwa wanawake nchini kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia katika mchakato wa uchaguzi wa ndani ya chama hadi uchaguzi mkuu wa dola Oktoba 2025. Hayo wakati akizungumza na Kikundi cha Wanawake wa Kikiristo na…

Read More

Mustafa apishana na Manula Azam FC

BAADA ya Azam FC kumalizana na aliyekuwa kipa wa Simba, Aishi Manula mabosi wa klabu hiyo kwa sasa wapo hatua za mwisho kuvunja mkataba wa mwaka mmoja na Mohamed Mustafa. Mustafa raia wa Sudan, alisajiliwa na Azam kutoka El Merrikh ya Sudan baada ya mkataba wa awali wa mkopo kumalizika ikimsajili kwa mkataba wa miaka…

Read More

PORF. JANABI APONGEZA WATUMISHI WA KITENGO CHA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA MNH KUTEKELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WELEDI

:::::::: Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila umeipongeza Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano cha hospitali hiyo kwa kutekeleza majukumu yake kwa weledi na kuitangaza vema hospitali hiyo ndani na nje ya nchi. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Prof….

Read More