Wasira kuendelea kuinadi CCM Nyasa leo

Nyasa. Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira, anatarajiwa leo, Juni 11, 2025, kuzungumza na makundi mbalimbali ya wananchi pamoja na wanachama wa CCM katika Wilaya ya Nyasa, mkoani Ruvuma, ikiwa ni sehemu ya harakati za kukinadi chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Mkutano huo wa ndani, ambao Makamu Mwenyekiti Wasira…

Read More

Kibarua cha Chongolo kwa madiwani mabaraza yakivunjwa

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amewataka wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri za mkoa huo, kusimamia fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo hata baada ya mabaraza ya madiwani kuvunjwa. Chongolo ametoa wito huo wakati wa kikao cha baraza la madiwani katika halmashauri ya Ileje lililofanyika kwa…

Read More

Yanga, TFF hakijaeleweka | Mwanaspoti

SAKATA linaloendelea kati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Yanga kuhusu madai ya fedha za ubingwa wa Kombe la Shirikisho (FA), limechukua sura mpya baada ya kutofikia kwa maelewano. Hivi karibuni kumekuwa na mzozo unaoendelea kuhusiana na taasisi hizo mbili kwa kile kilichoibuliwa na Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe kuweka wazi hawatocheza mechi…

Read More

Ni zamu ya Tabora mjini opresheni C4C ya Chaumma

Tabora. Kwa mara ya kwanza tangu kuzinduliwa kwa operesheni ya C4C ya Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) Juni 3 Juni 2025 katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, leo ni zamu ya wananchi wa Tabora Mjini. Operesheni hiyo ambayo inazidi kushika kasi kadiri inavyohubiriwa na viongozi wake kwa wananchi, inaendelea kuwavuta wananchi kwenda viwanjani kusikiliza…

Read More

Miji hii kwa kunguni usipime

Washington. Wakati msimu wa kiangazi ukikaribia kuanza katika mataifa ya Amerika na Ulaya, taasisi ya Terminix inayojihusisha na kupambana na wadudu nchini Marekani limeanika majiji kinara kwa uwepo wa Kunguni. Kunguni ni mdudu mdogo anayesifika kutokana na usumbufu wake kwa binadamu hususan kutokana na tabia yake ya kung’ata, kuwa kero wakati wa kulala na kusambaa…

Read More

MKUU WA MKOA WA TANGA AZINDUA MRADI WA INCLU-CITIES

Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Salha Burian akipanda mti kama ishara ya uzinduzi wa Mradi wa INCLU-CITIES unaodhaminiwa na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ubelgiji (ENABEL). Baadhi ya matukio ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga Batlida Salha Burian mbalimbali ya upandaji miti. Mwandishi Wetu MKUU wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt….

Read More

Miji hii kwa kunguni usipime, fanya haya kuwatokomeza

Washington. Wakati msimu wa kiangazi ukikaribia kuanza katika mataifa ya Amerika na Ulaya, taasisi ya Terminix inayojihusisha na kupambana na wadudu nchini Marekani limeanika majiji kinara kwa uwepo wa Kunguni. Kunguni ni mdudu mdogo anayesifika kutokana na usumbufu wake kwa binadamu hususan kutokana na tabia yake ya kung’ata, kuwa kero wakati wa kulala na kusambaa…

Read More

Viongozi wa Pasifiki wanataka hatua ya hali ya hewa ya ujasiri katika mkutano wa bahari – maswala ya ulimwengu

Viongozi wa Kisiwa cha Pasifiki wanazungumza katika mkutano na waandishi wa habari katika Mkutano wa 3 wa Bahari ya UN huko Nice. Mikopo: Naureen Hossain/IPS na Naureen Hossain (Nzuri, Ufaransa) Jumatano, Juni 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Nice, Ufaransa, Jun 11 (IPS) – “Hakuna hatua ya hali ya hewa bila hatua ya bahari,”…

Read More