Wasiojulika wanatuchafua na kutuchafulia kitaifa, kimataifa!
Ni matarajio ya Watanzania wote kwamba Jeshi la Polisi litafanya kazi kwa umahiri na uadilifu wa hali ya juu.
Ni matarajio ya Watanzania wote kwamba Jeshi la Polisi litafanya kazi kwa umahiri na uadilifu wa hali ya juu.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Bi. Martha Chassama amekutana na kuzungumza na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasilino wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Bi. Catherine Sungura na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Masoko wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira…
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi kiasi cha Shilingi bilioni 10.5 kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ikiwa ni gawio kwa Serikali kwa mwaka 2024. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inamiliki asilimia 30 ya hisa za Benki ya NBC, hivyo kunufaika moja kwa moja na gawio hilo ambalo limetokana na faida iliyopatikana…
Uchaguzi ni miongoni mwa mambo muhimu yanayopaswa kufanyika kwa uwazi, uadilifu na bila kuacha mashaka yoyote. Pale ambapo mchakato huu unakosa misingi hiyo, ndipo nchi hujikuta ikikumbwa na matatizo ambayo yangeliweza kuepukika. Moja ya masuala ambayo yamekuwa yakiibua mjadala mkubwa Zanzibar ni kuhusu upangaji wa majimbo ya uchaguzi.Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) mara nyingi…
Katika kufanya utafiti wangu usio rasmi, nimegundua mambo ya ajabu. Naweza kujiita mgunduzi wa karne hii kwenye sayansi ya jamii. Nianze na niliyogundua. Mosi, nimegundua kuwa fyatu anaweza kwenda shule asielimike. Kifyatu, hii inaitwa education for ignorance. Fyatu anaweza kuoga lakini akabaki mchafu achia mbali kutakata. Pili, Fyatu anaweza kula kwa miguu na mikono lakini…
Napenda kulipongeza Jeshi kwa ujumla wake kwa mkakati wao wa kurudisha uzalendo kwa Watanzania. Kipindi cha nyuma kujiunga na Jeshi la kujenga Taifa ilikuwa si hiyari. Mtu yeyote aliyekuwa tayari kulihudumia Taifa alilazimika kupitia hapo ili kufundishwa uzalendo na jinsi ya kujilinda mwenyewe na Taifa lake. Ubinafsi ni neno lililotakiwa kufutika kabisa kwenye kamusi yake…
Miaka ya ziada ya maisha katika uzee hakika hutoa habari chanya kwa wanaume na wanawake wazee na kwa familia zao, marafiki, na jamii. Walakini, miaka hiyo ya ziada ya maisha kwa watu wazee pia huinua changamoto muhimu. Mikopo: Shutterstock Maoni na Joseph Chamie (Portland, USA) Jumanne, Juni 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Portland,…
Singida. Ni kama watu wanaoisubiri ile siku ya kuja Masihi! ndivyo ilivyo kwa makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wenye nia ya kugombea ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Singida huku kila mmoja akiota kwamba kuna mtu ‘amekanyaga waya’ ili siku zisitembee. Hiyo inajidhihirisha kwa namna joto lilivyopanda huku makada wakianza kujipitisha kwenye mikusanyiko na…
Taifa limetekwa na mkumbo wa kauli mbiu (slogan). Upande mmoja ulianza kuchafua mitandao ya kijamii kwa kuandika maoni kwenye kila posti ya mtu maarufu; No Reforms, No Election. Kwamba bila mabadiliko ya sheria hakutakuwa na uchaguzi. No Reforms, No Election ni kauli mbiu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), msingi wake ni kusukuma presha…
Geita. Maduka zaidi ya 17 katika eneo la Buseresere wilayani Chato, Mkoa wa Geita yameteketea kwa moto ambao chanzo chake hakijafahamika. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, Hamis Dawa amethibitisha kutokea kwa moto huo akisema taarifa zaidi atazitoa muda mfupi ujao. Kwa mujibu wa mashuhuda moto huo ulizuka saa tatu usiku ambapo…