Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: June 2025

  • Home
  • 2025
  • June
  • Page 16
Habari

Wakili Ajitosa Ubunge Jimbo la Mbagala  – Global Publishers

June 29, 2025 Admin

Last updated Jun 29, 2025 Mwanazuoni na Wakili Dk Aloys Rugazia ameibuka kwa kishindo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge

Read More
Habari

INEC yatangaza nafasi ajira za muda kwenye Uchaguzi Mkuu 2025

June 29, 2025 Admin

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza nafasi za ajira za muda kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa baadaye

Read More
Habari

TUWE NA MAONO YA KUIONA KESHO YETU – DKT. BITEKO

June 29, 2025 Admin

……………. 📌Ni katika Bonanza la Wizara ya Nishati na Taasisi zake Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa

Read More
Habari

FUNGUO Yatangaza Fursa za Ufadhili wa Zaidi ya TZS Bilioni 2.5 kwa Wajasiriamali wa Tanzania na Biashara Endelevu kwa Mazingira

June 29, 2025 Admin

Amesisitiza uungaji mkono wa Finland kwa Biashara Ndogo, Ndogo Sana, na za Kati (MSMEs), kwa kuongezea kuwa, “Tunataka kuchochea ukuaji wa biashara bunifu katika mnyororo

Read More
Habari

TANZANIA INATAZAMIWA KUZALISHA LITA BIL 13 ZA MAZIWA MIAKA MICHACHE IJAYO

June 29, 2025 Admin

 Na.Vero Ignatus Arusha Imeelezwa kuwa ili uweze kupata maziwa ya kutosha kwenye viwanda lazima kuwepo na elimu na mitaji, sambamba na kuwepo na mbegu bora

Read More
Habari

Gridi ya Taifa yapata hitilafu, Tanesco yaomba radhi

June 29, 2025 Admin

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limetangaza kutokea kwa hitilafu kwenye gridi ya Taifa iliyosababisha mikoa mbalimbali nchini kukosa huduma mpaka sasa, huku juhudi za kurejesha

Read More
Habari

TANESCO YAOMBA RADHI KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME KUTOKANA NA HITILAFU GRIDI YA TAIFA

June 29, 2025 Admin

:::::::: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa umma kuwa mnamo majira ya saa 02:36 asubuhi, kumetokea hitilafu kwenye mfumo wa Gridi ya Taifa

Read More
Habari

Mama asimulia alivyomwokoa kichanga akimtupa dirishani ajali iliyoua watu 37 Same

June 29, 2025 Admin

Same. Domitilia Ezekiel amabye ni mama wa mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi miwili  amesimulia namna alivyokitupa kichanga kupitia dirishani ili kumuokoa, huku

Read More
Habari

MSAMA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA UKONGA

June 29, 2025 Admin

 ::::::: Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama leo Juni 29, 2025 amefika katika Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ilala na kuchukua Fomu

Read More
Kimataifa

Lacroix inashikilia jukumu la utunzaji wa amani wa UN huko Lebanon na Syria – maswala ya ulimwengu

June 29, 2025 Admin

Jean-Pierre Lacroix alielezea waandishi wa habari juu ya ziara yake ya hivi karibuni katika nchi hizo mbili mbele ya Baraza la Usalama Mikutano juu ya

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 237 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.