
Wakili Ajitosa Ubunge Jimbo la Mbagala – Global Publishers
Last updated Jun 29, 2025 Mwanazuoni na Wakili Dk Aloys Rugazia ameibuka kwa kishindo baada ya kuchukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Ubunge wa Jimbo la Mbagala, Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Dk Rugazia ametimiza haki yake hiyo, baada ya taarifa ilitolewa na Katibu Mkuu wa CCM Dk Emmanuel Nchimbi…