Viongozi wapya CWT wapewa majukumu

Dodoma. Wakati Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kikikamilisha uchaguzi wake kwa ngazi ya Taifa, mambo matatu yanawasubiri viongozi waliochaguliwa ili kupeleka imani kwa wanachama. CWT imekamilisha uchaguzi wao saa 11.45 ya leo alfajili,  Jumatano Juni 10, 2025 uliokuwa na ulinzi mkali kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa milango ya nje huku ndani ya ukumbi…

Read More

Samia apokea Sh1.028 trilioni za gawio, atoa mbinu kwa mashirika

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ameyataka mashirika na taasisi za Serikali kutoa gawio kulingana na fedha zilizokusanywa na matakwa ya sheria, badala ya kujikamua ilimradi zionekane zimechangia. Vilevile, ameeleza umuhimu wa taasisi hizo kutoa gawio, akisema ndiyo msingi wa nchi kuendesha mambo yake bila kutegemea mikopo, suala ambalo litalifanya nchi ijenge heshima duniani….

Read More

Vodacom yajivunia haya safari ya miaka 25 Tanzania

Dar es Salaam. Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom Tanzania imesema inajivunia ubunifu katika huduma za mawasiliano nchini tangu kuanzishwa kwake miaka 25 iliyopita. Katika safari hiyo ya miaka 25 sasa Vodacom imesema inajivunia ufikiaji wa wananchi katika huduma za miamala zilizoanza mwaka 2008, sambamba na huduma za intaneti ya kasi. Hayo yamebainishwa leo Juni 10,…

Read More

Mikopo kausha damu ilivyowazindua bodaboda Dodoma

Dodoma. Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Bodaboda na Bajaji Mkoa wa Dodoma (Umapido), Chacha Marwa amesimulia jinsi mikopo umiza, kausha damu ilivyosababisha waanzishe Chama cha Kuweka na Kukopoa (Sacoss). Changamoto ya mikopo umiza, komandoo, pasua moyo, kichefuchefu, kausha damu imekuwa ikitajwa kuwa chanzo cha kufilisika, kujiua, kuvunjika kwa ndoa na kupata magonjwa ya akili baada…

Read More

ACT Wazalendo yawapigia rada wabunge 19 wa Chadema

Dar es Salaam. Uamuzi wa ACT Wazalendo kuongeza muda kwa makada wake kuchukua na kurudisha fomu za ubunge na udiwani, una mengi yaliyojificha nyuma yake, Mwananchi limebaini. Ukiacha lengo kuu la kuongeza wigo zaidi kwa wanachama wake kuchukua fomu hizo, pia, uamuzi huo una lengo la kuvuna wabunge 19 wa viti maalumu wa Chama cha…

Read More

PIC YAIPONGEZA PPPC KWA KUSIMAMIA DHANA YA PPP

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) Bw.David Kafulila,akitoa mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) yaliyofanyika leo Juni 10,2025 bungeni jijini Dodoma. Na Alex Sonna, Dodoma Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC) kimetoa…

Read More