CP. WAKULYAMBA:SIMAMIE MAJUKUMU YA UHIFADHI, MSIJIHUSISHE NA RUSHWA
……………. Na Sixmund Begashe, Katavi Maofisa na Askari wapya wa Jeshi la Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) wametakiwa kusimamia ipasavyo majukumu ya uhifadhi katika maeneo watakayopangiwa ili kuimarisha ulinzi wa rasilimali za taifa na kujiepusha na vitendo vya rushwa. Wito huo umetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na…