DC SONGEA AHIMIZA MATUMIZI NA UWEKEZAJI KWENYE NISHATI SAFI
::::::: *Na Mwandishi Wetu* Mkuu wa Wilaya ya Songea, Ndugu Wilman Kapenjama Ndile, amewataka wananchi wa Songea kuachana na matumizi ya nishati chafu na kuhamia kwenye nishati safi ili kutunza afya zao na mazingira na kuwa sehemu ya utekelezaji kwa vitendo mkakati wa kitaifa wa nishati safi ya kupikia unaolenga kuwafikia 80% ya watanzania ifikapo…