Anayedaiwa kuwaua wazazi wake Moshi apatikana akiwa hoi

Moshi. Kijana Evance Geofrey (26) anayetuhumiwa kuwaua wazazi wake, Geofrey Motta (60) na Blandina Ngowi (53) eneo la Msufuni Msaranga, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amepatikana akiwa hajitambui. Taarifa zinadai kijana huyo aliokotwa barabarani na wasamaria wema na kupelekwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) kwa matibabu kutokana na hali aliyokuwa nayo. Inaelezwa…

Read More

Wajumbe CCM tupeni raha, tuondoleeni makada hawa

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza ratiba ya mchakato wa ndani wa uteuzi wa nafasi ya ubunge lakini natamani wajumbe wanoe vichinjio vyao vizuri ili watusaidie kutuondolea makada wa aina tatu waliotia nia ubunge 2025. Ninafahamu mchakato huo utakaoanza Juni 28, 2025 utahusisha pia uchukuaji fomu za ujumbe wa Baraza la wawakilishi na madiwani, lakini tunatamani…

Read More

MJUMBE WA BIASHARA KUTOKA UINGEREZA ATEMBELEA SBL, ASISITIZA DHAMIRA YA PAMOJA YA BIASHARA, UENDELEVU, NA UKUAJI JUMUISHI

Serengeti Breweries Limited (SBL), kampuni tanzu ya Diageo PLC, leo imemkaribisha Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Marianne Young, na Mjumbe Maalum wa Serikali ya Uingereza anayeshughulikia Biashara Afrika Mashariki, Mhe. Kate Osamor, katika kiwanda chake cha kutengeneza bia jijini Dar es Salaam.  Ziara hii ya ngazi ya juu inaashiria hatua muhimu katika kuimarisha uhusiano…

Read More

Afrika ya Kati katika njia panda wakati wa mivutano inayoongezeka na kutokuwa na utulivu – maswala ya ulimwengu

Na vurugu zinazozidi kuongezeka katika Bonde la Ziwa Chad na Maziwa Makuu, Baraza la Usalama tulikutana Jumatatu kuchunguza vitisho vinavyokabili mkoa mpana. “Afrika ya Kati inabaki tajiri katika uwezo, lakini changamoto bado ni muhimu“Alisema Abdou Abarry, mkuu wa Ofisi ya Mkoa wa UN kwa Afrika ya Kati (UNOCA). Baadhi ya maendeleo Wakati nchi kama Chad…

Read More

Njia za watumwa kufufuliwa, vikao vyaanza SMT na SMZ

Unguja. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (SMT) kwa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), zimeanza vikao vya mashauriano kwa lengo la kufufua na kuhifadhi historia ya njia ya biashara ya watumwa, iliyokuwa ikianzia Kigoma, kupitia Bagamoyo hadi Zanzibar, kama sehemu ya utalii wa kihistoria. Historia inaonesha kuwa kila mwaka, takribani watumwa…

Read More

Ripoti yabainisha wazawa wawekwa kando fursa za ajira

Unguja. Wakati wimbi la vijana likiendelea kukumbwa na ukosefu wa ajira, ripoti ya utafiti wa ajira na mapato katika sekta rasmi kwa mwaka 2022/23 imebainisha kuwa, nafasi nyingi za ajira bado hazijajazwa, hasa katika kada ya mafundi stadi na wataalamu wa fani zinazohusiana nao. Kati ya nafasi zote za ajira zilizokuwepo mwaka 2022/23, asilimia 38.6…

Read More

TFS Yaendelea Kung’ara Katika Mapato Yasiyo ya Kodi

— Yakabidhi Sh29.82 Bilioni kwa Rais Samia;  — Mchechu asifu ubunifu na nidhamu ya taasisi; Silayo aeleza mikakati mipya ya mapato endelevu Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kujiimarisha kama taasisi kinara katika kuchangia mapato yasiyo ya kodi kwa Serikali, baada ya kukabidhi hundi ya Sh29.82 bilioni kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan,…

Read More