Vurugu zaibuka mkutano wa Chadema Igunga, mmoja mbaroni

Igunga. Kijana Lufigo Bundala, mkazi wa Kijiji cha Ibuta kilichopo Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilayani humo kwa tuhuma za kuanzisha vurugu, kushambulia na kujeruhi watu katika mkutano wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) uliofanyika leo Jumanne Juni 10, 2025. Akizungumza na viongozi wa Chadema waliofika Kituo…

Read More

WADAU WA HUDUMA ZA UONGOZAJI NDEGE WAKUTANA DAR ES SALAAM KUJADILI CHANGAMOTO ZA KITEKNOLOJIA NA KUBORESHA UFANISI WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA

Wadau wa huduma za uongozaji ndege kutoka Tanzania na taasisi mbalimbali za kimataifa za usafiri wa anga wamekutana jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa siku mbili wenye lengo la kujadili changamoto za kiteknolojia duniani na kuongeza ufanisi, usalama, na uendelevu wa huduma za uongozaji ndege. Mkutano huo uliwaleta pamoja wataalamu wakuu wa sekta ya…

Read More

Yanga yaibuka tena, yaijibu TFF kuhusu madeni

Baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutoka hadharani na kuijibu Yanga kuhusu madeni inayowadai, klabu hiyo imeibuka tena. Katika taarifa kwa umma iliyowekwa kwenye kurasa rasmi za mitandao ya kijamii ya Klabu ya Yanga, imeeleza hivi: “Tumeona taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuwa inaidai Klabu ya Young Africans…

Read More

TFF yajibu tuhuma, yaithibitisha kuidai Yanga

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepinga madai kuwa linadaiwa na Yanga, fedha za zawadi ya ubingwa ya mashindano ya Kombe la Shieikisho la CRDB msimu uliopita na badala yake limesema kuwa lenyewe ndio linaloidai klabu hiyo. Taarifa iliyotolewa na TFF leo Juni 10, 2025 imeeleza kuwa kinyume na madai ya Yanga, klabu hiyo…

Read More

Mahakama yazuia shughuli za Chadema kwa muda

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imezuia kwa muda shughuli zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katibu mkuu, mawakala na wafuasi wa chama hicho kushiriki kwa namna yoyote hadi pale kesi ya msingi itakaposikilizwa. Pia, imeagiza mali zote za Chadema zisitumike mpaka pale kesi ya msingi itakaposikilizwa. Kesi ya…

Read More