BRELA yatoa Gawio la Shilingi Bilioni 20.4 kwa Serikali

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imetoa gawio la Shilingi Bilioni 20.4 kwa Serikali kwa mwaka 2025, likiwa ni ongezeko kutoka Shilingi Bilioni 18.9 zilizotolewa mwaka 2024. Gawio hilo limetolewa leo Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla…

Read More

NAIBU WAZIRI KHAMIS ATAKA FUKWE KUTOCHAFULIWA

………………………. Naibu wa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis amewataka wananchi wanaofanya shughuli kwenye fukwe kutoharibu mazingira na badala yake wafuate sheria ikiwemo kutotupa taka ovyo. Ametoa wito huo wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalumu Mhe. Asya Mwadini Mohammed aliyetaka kujua mkakati wa Serikali wa kusimamia utunzaji…

Read More

Vodacom Tanzania Yazindua Kampeni ya Kuadhimisha Miaka 25, Yabeba Ujumbe “Tupo Nawe, Tena na Tena”

Katika kuadhimisha miaka 25 ya kuwaunganisha Watanzania, Vodacom Tanzania PLC imezindua kampeni kubwa ya kitaifa inayobeba ujumbe wa “Tupo Nawe, Tena na Tena.” Kampeni hii itakayodumu kwa miezi minne, kuanzia Juni hadi Oktoba 2025, inalenga kusherehekea safari ya mafanikio tangu walipoanza kutoa huduma nchini mnamo mwaka 2000 hadi leo. Vodacom inawakumbusha Watanzania kuwa ipo nao…

Read More

RAIS SAMIA APOKEA GAWIO LA SHILINGI TRILIONI 1.028, ATOA WITO KWA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Mashirika na Taasisi za Umma kuhakikisha yanawajibika ipasavyo katika kulinda na kuendeleza uwekezaji wa Serikali kwenye mashirika hayo, na kuchangia kikamilifu kwenye maendeleo ya kiuchumi. Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shaaban Kissu, Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu,…

Read More

Utafiti wabaini ukata kukwamisha watu kuzaa

Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) imeonesha watu wengi wanashindwa kuwa na idadi wanayoitaka ya watoto kwa sababu ya hali ngumu ya uchumi. Kwa kutumia utafiti wa kitaaluma ikiwa ni matokeo ya uchunguzi uliofanywa na UNFPA kwa kushirikiana na YouGov katika nchi 14 zinazowakilisha zaidi…

Read More

Coastal Union yapanga kusajili kiungo, mshambuliaji

KOCHA wa Coastal Union, Joseph Lazaro ameweka wazi maeneo makubwa mawili ya kiungo na ushambuliaji ambayo kikosi hicho kinatakiwa kuongezewa nguvu kwa ajili ya msimu ujao. Coastal ambayo msimu huu imeshuka kiwango tofauti na uliopita, kwa sasa inashika nafasi ya 10 katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa imecheza mechi 28, ikishinda saba, sare 10…

Read More

Je! Tunaweza kuona nini juu ya mabadiliko ya hali ya hewa katika data ya uchumi mkubwa? – Maswala ya ulimwengu

Gari hupitia maji ya mafuriko wakati wa msimu wa monsoon huko Kolkata, India. Mabadiliko ya hali ya hewa yameathiri shughuli za uchumi wa ndani. Mikopo: Pexels/Dibakar Roy Maoni na Michal Podolski (Bangkok, Thailand) Jumanne, Juni 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Michal Podolski ni Afisa wa Masuala ya Uchumi, Escap Bangkok, Thailand, Jun 10…

Read More

Nahodha APR atajwa Azam | Mwanaspoti

TAARIFA kutoka Rwanda zinabainisha nahodha wa kikosi cha APR FC, Claude Niyomugabo anatakiwa na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao. Beki huyo wa kushoto mwenye umri wa miaka 26, alikuwa mchezaji muhimu wa APR katika msimu uliomalizika hivi karibuni wakati timu hiyo ikitwaa mataji mawili ambayo ni Ligi Kuu ya Rwanda na Kombe la…

Read More