Ngasa, Dodoma Jiji suala la muda

DODOMA Jiji imeingia sokoni mapema, huku ikiwa iko kwenye hatua za mwisho kumalizana na winga wa Tanzania Prisons, Benno Ngasa. Benno ambaye mkataba wake na Tanzania Prison unamalizika mwishoni mwa msimu huu, ameichezea timu hiyo kwa miaka miwili huku akiwa miongoni mwa wachezaji tegemeo. Taarifa za ndani kutoka Dodoma Jiji ilizonazo Mwanaspoti zinabainisha klabu hiyo…

Read More

Alichokisema Dk Mpango mkutano wa uchumi wa buluu Ufaransa

Dar es Salaam. Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amesema Tanzania imedhamiria kuhakikisha usimamizi endelevu wa mkondo wa Pemba pamoja na ikolojia ya baharini kwa ujumla. Dk Mpango amesema hayo leo Jumanne, Juni 10, 2025 wakati akifungua mkutano wa pembezoni uliyohusu “Kujenga Uchumi wa Buluu Imara katika Mkondo wa Bahari wa Pemba: Usimamizi…

Read More

Cheza Kasino na Ufurahie Sloti ya Giant Wild

Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za kulipa. Ili kupata ushindi wowote, lazima upate angalau alama mbili au tatu zinazofanana kwenye mstari wa ushindi. Mfuatano wa ushindi unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa…

Read More

Tumia Airtel Push Kujipatia Bonasi

  IKIWA leo hii ni tarehe 09 mwezi Juni, wakali wa ubashiri Meridianbet wanaendelea na kutoa promosheni kali na zenye pesa kibao ambao kwasasa ni zamu ya wateja ambao wanatumia mtandao wa Airtel kuweka pesa zao ndani ya Meridianbet. Promosheni ya AIRTEL PUSH ilianza toka mwezi wa kwanza, na itamalizika mwisho wa mwaka yaani mwezi Disemba 31…

Read More