Tulenge kuondoa ubaguzi huu kwenye elimu

Arusha. Nimepata fursa ya kuishi katika mazingira ya elimu kwa maisha yangu yote kuanzia chekechea miaka mingi iliyopita hadi sasa nikiwa kama mwalimu au profesa wa chuo kikuu.  Nimepata pia fursa ya kusoma nje ya nchi yetu na kufundisha katika nchi kadhaa duniani.  Hivyo elimu ni hoja iliyo karibu sana na maisha yangu na uzoefu…

Read More

Kaseja, mastaa wang’ang’aniwa Kagera | Mwanaspoti

KAGERA Sugar inaendelea kujifua ili kumalizia mechi mbili za mwisho za Ligi Kuu Bara kabla ya kuanza kujiandaa na msimu mpya wa Ligi ya Championship baada ya kushuka daraja, lakini mabosi wa klabu hiyo wameamua kufanya jambo moja la kuwang’ang’ania kocha Juma Kaseja na mastaa kadhaa. Hatua hiyo imeelezwa ina lengo la kuanza mikakati ya…

Read More

Mwarobaini wa utoro shuleni | Mwananchi

Dodoma. Utoro unatajwa kuwa mojawapo ya sababu kuu za matokeo mabovu ya wanafunzi wanaomaliza shule za msingi na sekondari. Taarifa mbalimbali kutoka serikalini zinaonyesha bado kuna tatizo kubwa la utoro shuleni, ambapo idadi kubwa ya wanafunzi wanashindwa kumaliza masomo huku darasa la nne likitajwa kuongoza kwa wanafunzi watoto wanaoacha masomo. Taarifa ya Ofisi ya Rais-Tamisemi …

Read More

Ripoti yamng’oa beki Yanga | Mwanaspoti

ZILE nyakati za kufanya mambo zimeshafika katika Ligi Kuu Bara, kwani licha ya kwamba msimu bado haujamalizika, lakini timu zimeanza kujiandaa kwa ajili ya msimu ujao zikifanya usajili kimyakimya kusikilizia tu umalizike ili zianze kutangaza majina ya mastaa zinaowasajili. Lakini, katikati ya hilo huenda kukawa na sapraizi kibao mara tu dirisha la usajili wa wachezaji…

Read More

Suleiman Ikomba Rais mpya CWT, ambwaga bosi wake

Dodoma. Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kimemaliza kimepata rais mpya, Suleiman Ikomba, aliyeibuka mshindi kwa kupata kura 608 dhidi ya kura 260 alizopata aliyekuwa rais wa awamu iliyopita, Leah Ulaya. Kura moja iliharibika, na kufanya jumla ya kura zilizopigwa kufikia 869. Uchaguzi huo umefanyika jana usiku na mshindi amepatikana leo asubuhi Juni 10, 2025, katika…

Read More

Dalali abaini jambo Simba, Yanga

MWENYEKITI wa zamani wa Simba, Hassan Dalali ‘Field Marshal’ amesema amezifuatilia kwa karibu Simba na Yanga katika michuano ya kimataifa ya CAF na kushtukia jambo ambalo kama klabu hizo zitarekebisha kidogo tu, basi muda si mrefu zitabeba ubingwa wa Afrika. Simba imecheza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu huu ikipoteza mbele ya RS Berkane…

Read More

Sikia alichosema Kagoma Simba | Mwanaspoti

UNAKUMBUKA kilichomkuta kiungo mkabaji wa Simba, Yusuf Kagoma katika ile mechi ya pili ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane iliyopigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar? Kagoma katika mechi hiyo alilambwa kadi mbili za njano na hivyo chama lake kucheza bila huduma yake kwa muda mrefu kipindi cha…

Read More