TANZANIA INAVYOTANGAZA FURSA ZAKE KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA OSAKA-2025

Na Mwandishi Wetu TANZANIA ni miongoni mwa nchi ambazo zinashiriki kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Osaka (World Expo Osaka 2025) yanayoendelea nchini Japan, ambapo pamoja na mambo mengine inatumia maonesho hayo kama fursa ya kudani vivutio mbalimbali vilivyopo nchini vikiwemo vya utalii, uwekezaji nchini Hatua inayokana na maonesho hayo kujumuisha mataifa mengi ambayo yanashiriki maonesho…

Read More

WAZIRI MKUU:SERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 43 KUIMARISHA MICHEZO SHULENI*

………,…… _▪️Azindua mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA Iringa_ WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga sh. bilioni 43 ili kuimarisha michezo katika shule mbalimbali nchini na kati ya hizo, sh. bilioni 32 ni kwa ajili ya kuimarisha Chuo cha Michezo Malya. Amesema shilingi bilioni 11 zimetengwa kwa ajili ya kutekeleza mpango wa kuboresha miundombinu ya…

Read More

Wakili waliotumwa na afande ahoji walipo watuhumiwa wawili

Dodoma. Wakili wa kesi ya rufaa iliyokatwa na  Nyundo na wenzake, kupinga adhabu ya kifungo cha maisha gerezani, Godfrey Wasonga ameihoji Mahakama walipo watuhumiwa wawili waliotajwa na shahidi wa tatu (mwathirika) kwenye kesi ya kubaka kwa kikundi na kumwingilia kinyume na maumbile Binti Mkazi wa Yombo Dovya Dar es salaam kwani ushahidi wa binti huyo…

Read More

KUELEKEA BAJETI KUU: Wapendekeza rasilimali asili zichangie Mfuko wa Bima ya afya kwa wote

Dar es Salaam. Rasilimali za nchi zimetajwa kuwa vyanzo sahihi na vya kudumu vya upatikanaji wa fedha za kushughulikia Bima ya Afya kwa Wote, huku Serikali ikishauriwa kutumia wataalamu na kujifunza kutoka katika nchi zilizofanikiwa. Vyanzo vilivyotajwa ni madini, gesi na rasilimali zingine za asili. Ushauri huo umetolewa na wataalamu wa bima nchini, wakati wananchi…

Read More

‘Utawala unatafuta kuunganisha udhibiti kamili kwa kuondoa uangalizi wote wa nje’ – maswala ya ulimwengu

na Civicus Jumatatu, Juni 9, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Jun 09 (IPS) – Civicus anajadili Nicaragua’s kujiondoa Kutoka kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kielimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) na mashirika mengine ya kimataifa na Wisthon Noguera, mwanaharakati, mwanafunzi na naibu mratibu wa Jukwaa la Vijana la Kitaifa la Nicaragua. Wisthon Noguera…

Read More

CCM, Chadema, Chaumma ni mwendo wa kufuta nyayo

Dar es Salaam. Vyama vitatu vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga katika mikoa mbalimbali nchini huku vikipishana kwenye maeneo wanayopita wenzao ili kufuta nyayo walizoziacha waliowatangulia kwenye maeneo hayo. Vyama hivyo vya Chaumma, Chadema na CCM, vinaendelea za ziara zao zenye malengo tofauti kwa kukutana na wananchi, kuzungumza nao na kueleza ajenda zao wakati Taifa likielekea…

Read More

Ni mwendo wa kufuta nyayo

Dar es Salaam. Vyama vitatu vya siasa vimeendelea kuchanja mbuga katika mikoa mbalimbali nchini huku vikipishana kwenye maeneo wanayopita wenzao ili kufuta nyayo walizoziacha waliowatangulia kwenye maeneo hayo. Vyama hivyo vya Chaumma, Chadema na CCM, vinaendelea za ziara zao zenye malengo tofauti kwa kukutana na wananchi, kuzungumza nao na kueleza ajenda zao wakati Taifa likielekea…

Read More