Mapya yaibuka mahakamani kufungwa Kanisa la Askofu Gwajima
Dar es Salaam. Mvutano mkali wa kisheria, umeibuka kortini baada ya Serikali kuweka pingamizi la awali kupinga maombi yaliyofunguliwa na Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Glory of Christ Tanzania linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima. Hata hivyo, katika uamuzi wake alioutoa Juni 6, 2025 na kuwekwa katika tovuti ya mahakama, Jaji Juliana Masabo wa Mahakama…