Mapya yaibuka mahakamani kufungwa Kanisa la Askofu Gwajima

Dar es Salaam. Mvutano mkali wa kisheria, umeibuka kortini baada ya Serikali kuweka pingamizi la awali kupinga maombi yaliyofunguliwa na Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Glory of Christ Tanzania linalomilikiwa na Askofu Josephat Gwajima. Hata hivyo, katika uamuzi wake alioutoa Juni 6, 2025 na kuwekwa katika tovuti ya mahakama, Jaji Juliana Masabo wa Mahakama…

Read More

Hemed: Mamlaka za kodi zisiogopeshe walipakodi

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amezitaka mamlaka za usimamizi wa kodi TRA na ZRA kuhakikisha mfumo wa kodi ni wa haki, uwazi, rahisi kueleweka na wenye kuzingatia mazingira halisi ya biashara na uwekezaji ili kuwahamasisha walipa kodi. Ametoa kauli hiyo leo Juni 9, 2025 wakati akifungua kongamano la kodi na…

Read More

Tani 2,700 za mbolea zagawiwa kwa wakulima Zanzibar

Unguja. Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji na Mifugo kwa kipindi cha mwaka 2024/25 imetoa tani 2,700 za mbolea visiwani Zanzibar. Hayo yamebainishwa leo Juni 9, 2025 na Waziri Shamata Shaame Khamis wakati akijibu hoja za wawakilishi katika mkutano wa 19 wa Baraza la Wawakilishi. Amesema kati ya kiwango hicho, Unguja ni 1,620 na Pemba 1,080 za…

Read More

Sheria ya NHC yawabana waajiri, adhabu zaongezwa

Dodoma. Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Shirika la Nyumba la Taifa ya Mwaka 2025, unaoongeza adhabu na kuondoa wajibu wa mwajiri kukata kodi ya nyumba pamoja na faini ya kuchelewesha kodi kutoka kwenye mshahara wa mfanyakazi, ambaye ni mpangaji. Marekebisho hayo yamepitishwa leo, Jumatatu Juni 9, 2025 baada ya kuwasilishwa na Waziri wa Ardhi,…

Read More

Sakata la Dabi, Ally Kamwe aibua mambo mapya

MSEMAJI wa Yanga,  Ally Kamwe amesema klabu hiyo, iko siriazi katika msimamo wa kutocheza mechi ya Kariakoo Dabi dhidi ya Simba, akisema Bodi ya Ligi Tanzania imepotosha juu ya matakwa yao manne. Akizungumza jioni hii katika makao makuu ya Yanga, Kamwe amesema Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi Almas Kasongo ameshindwa kufafanua vizuri matakwa manne kwamba…

Read More

Wanakijiji wachanga mamilioni kujenga shule mpya

Musoma. Wazazi katika Kijiji cha Muhoji, Kata ya Bugwema  kwa kushirikiana na wadau wengine wamejitolea kuchanga Sh175 milioni kutekeleza mradi wa ujenzi shule mpya ya Sekondari ya Muhoji. Akizungumza leo Jumatatu Juni, 9 2025 na  mkuu wa shule mpya, Joseph Ndalo amesema awali wanafunzi walilazimika kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 20 na kurudi shule…

Read More