Ukatili dhidi ya watoto wapungua Tanzania – Utafiti

Dar es Salaam. Matokeo ya utafiti wa kitaifa wa ukatili dhidi ya watoto na vijana (VACS-2024) yameonyesha ukatili kwa kundi la watoto kati ya miaka 13 hadi 24 umepungua kwa kiwango kikubwa. Matokeo hayo yameonyesha ukatili wa kingono, kimwili na kihisia kati ya watoto 11,414 umepungua ukilinganisha na utafiti wa kwanza wa VACS-2009 uliofanyika miaka…

Read More

Raia kupewa mafunzo ya ulinzi wa amani

Dar es Salaam. Chuo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani Tanzania (TPTC), kimezindua kozi ya mafunzo ya ulinzi wa amani kwa raia ikiwa ni kwa mara ya kwanza kufanya. Lengo la kozi hiyo ni kuwaandaa na kuwawezesha raia kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi na weledi wanapokuwa kwenye jukumu la ulinzi wa amani. Kozi hiyo itaendeshwa…

Read More

Tanzania kusaka miradi 1,500 ya uwekezaji mwaka 2025

Dar es Salaam. Tanzania imelenga kusajili miradi 1,500 ya uwekezaji mwaka 2025 ikiwa ni ongezeko la asilimia 60 ikilinganishwa na ile ya mwaka 2024. Lengo hilo linawekwa wakati ambao tayari miradi 372 imesajiliwa kati ya Januari hadi Mei 2025 huku sekta ya viwanda ikiendelea kuwa kinara kwa kupokea mtaji mkubwa uliowekezwa katika usindikaji wa vyakula,…

Read More

Vurugu zalipuka Marekani, wanajeshi wamwagwa mitaani

Los Angeles. Hali ya taharuki imeendelea kuongezeka jijini Los Angeles baada ya maelfu ya waandamanaji kumiminika mitaani wakipinga hatua ya Rais Donald Trump kuwafurusha wahamiaji wasio na vibali nchini humo. Kufuatia hatua hiyo, Rais Trump aliamuru wanajeshi zaidi ya 2,000 kumwagwa maeneo yanapofanyika maandamano hayo, ili kukabiliana na waandamanaji na kuimarisha ulinzi dhidi ya majengo…

Read More

TFF: Hakuna atakayesajiliwa bila kupima moyo

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema msimu wa 2025/26 hakuna mchezaji ambaye atasajiliwa kucheza Ligi Kuu Bara au Ligi ya Championship bila kufanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo. Karia ameyasema hayo leo Juni 9, 2025 baada ya TFF na Chama cha Madaktari wa Michezo Tanzania kuingia makubaliano na Taasisi ya Moyo…

Read More

Rais Samia ataka mkakati kukomesha ajali

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kuja na mkakati wa kuhakikisha kile alichokiita mzimu wa ajali unaoiandama nchi unakoma. Kauli yake hiyo, inatokana na kile alichofafanua, pamoja na jitihada zinazofanywa na Serikali kuimarisha usalama barabarani, bado mzimu wa ajali umeliandama Taifa. Mkuu huyo wa nchi anaeleza hilo, siku…

Read More