Mpole ashtuka, aanza kujifua mapema

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Geita Gold, FC Lupopo ya DR Congo na Pamba Jiji, George Mpole, aliye nje ya uwanja tangu dirisha dogo la usajili lilipofungwa Januari mwaka huu, ameshtuka na kuanza kujifua mapema akijiandaa kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Mfungaji Bora huyo wa Ligi Kuu msimu wa 2021-2022, amesema licha ya kukaa…

Read More

Karia: Mchezaji bila kupimwa moyo hakuna kucheza Ligi

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia amesema msimu wa 2025/26 hakuna mchezaji ambaye atasajiliwa bila ya kufanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo kwa wachezaji wote wa Ligi Kuu na Ligi ya Championship. Karia ameyasema hayo baada ya TFF  pamoja na Chama cha Madaktari wa Michezo Tanzania (TMSA) kuingia makubaliano rasmi na Taasisi…

Read More

AIRTEL PUSH Ndio Habari ya Mjini Sasa – Global Publishers

Meridianbet wanaendelea kukuletea promosheni za uhakika na sasa ni zamu ya wateja wote ambao wanatumia mtandao wa Airtel kuweka pesa kwenye akaunti na kubashiri kwani wana uwezo wa kujikusanyia bonasi kubwa zaidi. Unasubiri nini sasa, bashiri mara nyingi jipatie zawadi kibao. Wateja wa Meridianbet promosheni kali ya  AIRTEL PUSH imewafikia mlangoni ambapo promosheni hii si…

Read More

Kigogo wa NCCR Mageuzi atimkia ACT -Wazalendo

Dar es Salaam. Katibu Mwenezi wa NCCR Mageuzi, Elisante Ngoma ametangaza kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo huku akitaja sababu ni chama chake kupoteza dira katika kupambana na chama tawala, Chama cha Mapinduzi (CCM). Ngoma amekuwa miongoni mwa vigogo waliohamia kwenye chama hicho hivi karibuni, akitanguliwa na wakili Peter Madeleka, aliyejitosa ubunge Jimbo la Kivule pamoja…

Read More

Bodi ya Ligi: Kariakoo Dabi ipo palepale

BODI ya Ligi Tanzania TPLB imesema katika mkutano wao na Yanga, klabu hiyo imekuja na mambo manne ambayo inataka yafanyiwe kazi kabla ya mchezo dhidi ya Simba. Akitangaza hayo mchana huu Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi Almas Kasongo amesema bodi yao imeyapokea na kwenda kuyafanyia kazi huku akisisitiza kwamba mchezo huo wa Juni 15, 2025…

Read More

Kisa Mbeya City, Prisons yajipanga upyaa

KUREJEA tena kwa Mbeya City katika Ligi Kuu Bara, kumeizindua Tanzania Prisons kuanza mipango mapema ya kujipanga ikitaka kusajili kikosi imara kitakachotengeneza ushindani wa kuwania nafasi za juu katika msimamo na sio kujikwamua kushuka daraja, kama ilivyopitia katika misimu ya hivi karibuni. Chanzo cha ndani kutoka timu hiyo, kilisema uongozi umeanza na kuweka skauti  kila…

Read More

MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JUA KISHAPU WAFIKIA ASILIMIA 63.3

…………….. 📌Asema awamu ya kwanza utazalisha Megawati 50 na kuingizwa kwenye Gridi ya Taifa Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO Bw. Lazaro Twange amesema Mradi wa uzalishaji umeme unaotokana na jua wa Kishapu Mkoani Shinyanga umefikia asilimia 63.3 kukamilika ambapo amesema awamu ya kwanza ya Mradi huo utazalisha Megawati 50 ambazo zitaingizwa kwenye gridi ya Taifa ifikapo…

Read More