Mpole ashtuka, aanza kujifua mapema
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Geita Gold, FC Lupopo ya DR Congo na Pamba Jiji, George Mpole, aliye nje ya uwanja tangu dirisha dogo la usajili lilipofungwa Januari mwaka huu, ameshtuka na kuanza kujifua mapema akijiandaa kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Mfungaji Bora huyo wa Ligi Kuu msimu wa 2021-2022, amesema licha ya kukaa…