Mlandege ilivyopiga bao Zanzibar | Mwanaspoti

MLANDEGE imeandika historia ya kubeba ubingwa wa nane wa Ligi Kuu Zanzibar, baada ya wikiendi iliyopita kumaliza kileleni ikizipiga bao timu nyingine 15 zilizoshiriki ligi hiyo. Wababe hao wa mjini Unguja, walitwaa taji hilo dakika za jioni baada ya ligi hiyo kuongozwa kwa muda mrefu na Mwembe Makumbi iliyopanda daraja msimu huu iliyomaliza katika nafasi…

Read More

Aziz KI ampa mzuka Gomez

MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca ya Morocco, Seleman Mwalimu ‘Gomez’, amesema ni jambo zuri na la kifahari kucheza timu moja na aliyekuwa kiungo nyota wa Yanga raia wa Burkina Faso, Stephane Aziz KI aliyejiunga hivi karibuni na kikosi hicho. Akizungumza na Mwanaspoti, Gomez alisema kitendo cha mchezaji huyo kutoka Ligi Kuu Bara kinaonyesha kwa sasa Tanzania…

Read More

Hoja sita kuamua Dabi ya Kariakoo

WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB). Katika kikao hicho ambacho kimepangwa kufanyika Jumatatu hii kwenye Ofisi za TPLB zilizopo Ilala jijini Dar es Salaam, kuna hoja sita nzito mezani za kujadiliwa ambazo zitaonyesha mwanga…

Read More

Siri imefichuka… Kilichombakisha Diarra hiki hapa

YANGA ina uhakika sasa wa kuendelea kuwa na kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra baada ya mwenyewe kufanya uamuzi wa kubaki ndani ya timu hiyo. Uamuzi wa Diarra kubaki Yanga umewafurahisha mashabiki wa timu hiyo, lakini kuna siri iliyojificha juu ya jambo hilo ambayo imefichuliwa na kocha raia wa Ubelgiji. Kocha huyo si…

Read More

Mbeya City yampigia hesabu beki Mzenji

KATIKA mikakati ya kuimarisha kikosi, imeelezwa kwamba Mbeya City ni kati ya timu nne zinazowania saini ya beki wa kati wa Singida Black Stars, Mzanzibar Mukrim Issa ‘Miranda’. Mbeya City itakayoshiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya kumaliza katika nafasi ya pili ya Ligi ya Championship na kupanda daraja, inawania saini ya nyota huyo…

Read More

Dau nono kumchomoa Mukwala Simba SC

WAKATI Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ikiendelea na mazungumzo ya kuhitaji huduma ya mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala, inaelezwa RS Berkane imeingilia kati dili hilo kwa kuweka dau nono ili kumchomoa nyota huyo kutoka kwenye viunga vya Msimbazi. Hadi kufikia hatua ya kuhitaji kumsajili Mukwala, inaelezwa RS Berkane ilivutiwa na kiwango alichokionyesha mshambuliaji huyo katika…

Read More

Usihuzunike Kwa Kuachwa, Utampata Akupendae

MARA nyingi baadhi ya wapenzi wanaoachwa na wenza wao wamejikuta wakigeuka kuwa watu wa huzuni katika sehemu kubwa ya maisha yao baada ya kuachwa. Huzuni hiyo husababisha wengine kupunguza ufanisi wao wa kazi, wakati mwingine humfanya mtu kuwa dhaifu katika maamuzi na fikra zake, huku wengine wakijiona kana kwamba hawana thamani kabisa katika huu ulimwengu….

Read More

Plankton, hali ya hewa, na mbio za kuelewa bahari yetu inayobadilika – maswala ya ulimwengu

Asubuhi iliyochomwa na jua kutoka pwani ya Villefranche-sur-mer, The Sagitta III Kupunguza kupitia maji ya cobalt ya Bahari ya Mediterania, zamani za marinas tulivu na matuta ya pine-pine ya Côte d’Azur ya Ufaransa. Chombo cha kisayansi cha futi 40-kilichopewa jina la zooplankton ya kutisha na taya zilizo na ndoano-huteleza kuelekea buoy ya manjano ya upweke….

Read More