Compact Energies Yaonesha Suluhisho za Nishati Safi kwa Sekta ya Utalii kwenye Maonesho ya KILIFAIR 2025

Kampuni ya Compact Energies inayoshiriki katika maonesho makubwa zaidi ya kimataifa ya utalii na sekta ya viwanda Afrika Mashariki ya Arusha KILIFAIR yanayofanyika kwenye Viwanja vya Magereza jijini Arusha imesema kuwa kwa kuzingatia umuhimu unaokua wa utalii endelevu inatumia jukwaa la maonesho ya mwaka huu kuonesha dhamira yake ya kuimarisha mustakabali wa utalii kwa kutumia…

Read More

Twange ang’aka, atoa maagizo kwa mkandarasi wa umeme jua

Shinyanga. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange amemuagiza mkandarasi wa mradi wa umeme jua kuhakikisha anatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa mkataba, huku akisisitiza kuwa Serikali nayo itatimiza wajibu wake kama mwajiri wa mradi huo anavyopaswa kuwajibika. Kauli hiyo ameitoa leo Jumapili Juni 8, 2025, alipokuwa akikagua mradi wa umeme jua…

Read More

Makalla: Hai msirudie makosa, sumu haionjwi

Hai/Arusha. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amewasihi wananchi wa Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro kutorudia makosa ya miaka ya nyuma kwa kuchagua upinzani, akibainisha kuwa tangu jimbo hilo liongozwe na CCM, mafanikio yanaonekana. Makalla ametoa wito huo leo Jumapili Juni 8, 2025, alipowahutubia wananchi wa Bomang’ombe wilayani…

Read More

CWT kwa moto, nani kuibuka mshindi kiti cha urais kesho

Dodoma. Ni mtifuano, ndivyo unavyoweza kusema kutokana na kampeni kali zinazoendelea katika Jiji la Dodoma wakati uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT) ukitaraji kufanyika kesho Jumatatu Juni 9, 2025. Wajumbe wa CWT kutoka Tanzania Bara watawachagua viongozi wao huku wagombea 153 watapambania nafasi nane. Nafasi zinazogombaniwa ni ya rais wa CWT inayowaniwa na wagombea…

Read More

Ushirikiano wa sekta binafsi, jamii kuboresha mazingira

Dar es Salaam. Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL), kwa kushirikiana na PETPRO, wameandaa warsha ya kitaifa yenye lengo la kuimarisha mbinu endelevu za udhibiti wa taka na kukuza uchumi wa mduara hapa nchini. Warsha hiyo inayoongozwa na kauli mbiu ya: “Njia endelevu ya udhibiti wa taka,” imewakutanisha wadau wakuu kutoka serikalini, sekta binafsi na…

Read More

Hawa ndio maadui wa afya ya ngozi yako

Dar es Salaam. Hakuna mtu asiyependa kuwa na ngozi yenye afya. Kutokana na hilo watu wengi  wamekuwa wakitumia vitu mbalimbali kama vipodozi asili au vile vya viwandani, ambavyo wanadai vinasaidia kuwa na ngozi nzuri. Yote hayo wanayafanya ili kuwasaidia  kupata mvuto  katika ngozi zao.Wengine huenda mbali hata kufikia uamuzi  wa kufanya upasuaji rekebishi  ili tu…

Read More

Watatu ACT Wazalendo wajitosa kupeperusha bendera Moshi Mjini

Moshi. Makada watatu wa Chama cha ACT-Wazalendo, wamechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Makada hao ambao ni Hassan Machaku, Elisha Mangwasi na Hanaf Mwetta wamechukua fomu kwa nyakati tofauti katika ofisi za chama hicho mkoa, zilizopo mtaa wa Kiusa, mjini Moshi, huku wakijipambanua…

Read More