Mshikemshike uchukuaji fomu CCM | Mwananchi

Dar es Salaam/Mikoani.  Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada wengi kuwania nafasi hizo. Miongoni mwa waliovutia macho ya wengi ni Ester Bulaya, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema,…

Read More

Samia awaagiza Ma-RC kusimamia kilimo

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha wanakwenda kusimamia kilimo kwa kuwa ndiyo sekta nyeti na muhimu kwa Taifa. Amesema asilimia 70 ya ajira za Watanzania ni katika sekta hiyo na asilimia 25 ya fedha za kigeni zinatokana na kilimo huku kikichangia asilimia 30 katika pato la Taifa. Rais…

Read More

Aliyekiri kubaka akwaa kisiki, jela maisha

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Bukoba, imebariki adhabu ya kifungo cha maisha jela alichohukumiwa Iman Emmanuel kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike aliyekuwa na umri wa miaka saba. Awali Julai 30,2024 Mahakama ya Wilaya ya Kyerwa ilimhukumu Iman adhabu hiyo baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kosa hilo bila kuacha shaka. Mbali na…

Read More

RAIS Dkt. SAMIA-KUANZA KWA MIZIGO SGR KUTAIMARISHA TZ KAMA LANGO LA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI

RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuanza kwa usafirishaji mizigo katika reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) pamoja na mambo mengine, kutaimarisha nafasi ya Tanzania kama lango la biashara katika Jumuia ya Afrika Mashariki. Rais Samia ametoa kauli hiyo Juni 27, 2025 alipokuwa anahitimisha shughuli za bunge Jijini Dodoma, akitoa mrejesho wa utekekezaji wa majukumu…

Read More