MSAMA: RAIS SAMIA ANAONGOZA TAIFA KWA MUONGOZO WA MUNGU

Mkurugenzi wa Msama Production, Bw. Alex Msama, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, anaongoza taifa hili kwa hekima na maono yanayoendana na muongozo wa Mungu. Alieleza kuwa utekelezaji wa majukumu ya Rais Samia unaakisi misingi ya kiroho, heshima kwa neno la Mungu, na dhamira ya kweli ya kuwaletea…

Read More

Mwanga kupata shule mbili za sekondari za ufundi

Mwanga. Serikali imesema itahakikisha Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro inakuwa na shule mbili za sekondari za ufundi ikilenga kuboresha mazingira ya elimu nchini ili vijana waendelee kupata ujuzi wa vitendo unaohitajika katika soko la ajira hivi sasa. Hayo yamesemwa jana jioni Juni 7, 2025  na Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda wakati…

Read More

Athari ya bajeti ya nchi katika uchumi wa familia

Bajeti ya taifa ni mpango wa mapato na matumizi ya serikali kwa kipindi fulani, mara nyingi mwaka mmoja wa fedha. Bajeti hii ina athari kubwa kwa uchumi wa familia, kwani sera na mipango inayopitishwa, huathiri moja kwa moja hali ya maisha ya wananchi. Katika muktadha wa Tanzania, Bunge linapojadili na kupitisha bajeti, uamuzi huo huleta…

Read More

Miroshi ashindwa kuandika rekodi Ulaya

KIRAKA wa Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi ameshindwa kuandika historia nyingine kwenye michuano ya Ulaya baada ya chama lake kumaliza nafasi ya nane kwenye msimamo wa ligi. Iko hivi. Mabingwa wa ligi kuu na mshindi wa pili ndizo zinakata tiketi ya kushiriki katika raundi ya pili ya mchujo ya Ligi ya…

Read More

Madhara  wanandoa kufichana wosia | Mwananchi

Mwanza. Katika maisha ya ndoa, mawasiliano ya wazi, uaminifu, na mipango ya baadaye ni nguzo muhimu zinazosaidia kuimarisha uhusiano.  Moja ya maeneo yanayohitaji uelewano mkubwa baina ya wanandoa ni kuhusu masuala ya mali na urithi.  Ingawa mara nyingi watu hukwepa au kuogopa kuzungumzia suala la wosia, kwa madai ya mtu kujichuria kifo, ni jambo la…

Read More

Mbinu rahisi kuushinda msongo wa mawazo

Dar es Salaam.Wakati kila mmoja wetu akijitahidi kusukumana na kukimbizana na maisha ya kila siku, jitihada hizi zinaambatana na misukumo na misongamano mbalimbali ambayo pasipo kukwepa inatuletea msongo wa mawazo na hii huweza kusababisha athari katika afya zetu na hisia zetu pia. Ni muhimu  kila mmoja wetu akafahamu namna au mbinu za kuushinda msongo huu…

Read More